Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasahau jamii zetu unavyotakiwa kuishii watu humu huwaga wanajifanya tu,,,mi nasemea navyoona maana rafiki zake baadhi eti mpaka kaanza kuwasahau majina na anacheza nao mpira hahahah
sawa tu, kizuri mi nakufahamu ntakuchek tupige hata porojo japo huwa hatuna mazoweaNawe utasemwa sana tu huna kitu kusemwa lazima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wa aina hiyo mara nyingi ni madereva tu... Hayo magari siyo yao...Mbona wengine husalimiaa na wana magari haswaaa [emoji23][emoji23]
Zamani alisalimia kila kila mtu sasa hivi hasalimii anajikweza sijui anaona kamaliza kila kitu. Sasa si angeacha kuwa kusalimia tu toka zamani.
Kwanini ubadilike si watu lazima watakusemaa, zamani alijichanganya na watu sasa hivi sijui anajionaje..
mi nipo mwaloni huku kwa maneno, we upo wapi saahizSawa
Sasa yuko garini ashuke asalimie kila mtu??Kuna mkaka kanunua gari used ya kawaida tu lakini kabadilika jamani.
Najiuliza angenunua yale magari mazuri haswa kama Range, BMW, sijui ingekuwaje nahisi angepaa.
Zamani alisalimia kila kila mtu sasa hivi hasalimii anajikweza sijui anaona kamaliza kila kitu. Sasa si angeacha kuwa kusalimia tu toka zamani.
Kwanini ubadilike si watu lazima watakusemaa, zamani alijichanganya na watu sasa hivi sijui anajionaje..
Sitaki kumhukumu aisee huwezi jua yaliyompata. Maana kuna rafiki yangu walikuwa wanaongea sana na kuchangamkiana siku hizi siyaoni hayo kama hamjuii ahahahahah..
Sasa nililie nn mie,vyote ulivyovitaja ninavyo sina cha kulia zaidi ya kumshukuru Allah aliyejuu yetuView attachment 471998
Shostie pole wee naona unataman hata kulia
kirumbaMwaloni wapi
Sasa nililie nn mie,vyote ulivyovitaja ninavyo sina cha kulia zaidi ya kumshukuru Allah aliyejuu yetu
Poleni sana,InshaAllah yeye aliyejuu anatujua sote
Na hata ukienda Ku paki na kurudi kwa mguu watasema "si alitupita hapa sasa kaja kutusalimia ya nini" hao watu dawa yao ni Ku mind ur business tu,weww huwezi kuwa kama wao na wao hawawezi kuwa kama wewe" kila Mtu afanye kwa uwezo wake aliojaaliwa siku zote wasengenyeji hawana jemaNikuambia kitu cha kweli... Sisi binadamu tupo hivi...
Ukiwa na gari...
1. Ukisimamisha kutoa salam watu watongea kwamba umesimamisha makusudi ili uwakoge na kigari chako...
2. Ukipita bila salam watu watongea kwamba siku hizi unaringa na kigari chako...
Cha kufanya wewe pita tu.. Kalipaki alafu kama ukirudi kwa miguu wasalimie...
Sawa kabisa... Hapa duniani kila mtu afanya yake...Na hata ukienda Ku paki na kurudi kwa mguu watasema "si alitupita hapa sasa kaja kutusalimia ya nini" hao watu dawa yao ni Ku mind ur business tu,weww huwezi kuwa kama wao na wao hawawezi kuwa kama wewe" kila Mtu afanye kwa uwezo wake aliojaaliwa siku zote wasengenyeji hawana jema