Well said.We angalia namna ya kujikwamua mwenyewe usitegemee kuchomoka kimaisha Kwa hizi harakati za kimakundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said.We angalia namna ya kujikwamua mwenyewe usitegemee kuchomoka kimaisha Kwa hizi harakati za kimakundi
Itabidi tuanzishe saccos aiseNjema ndugu yangu
Usikate tamaa
NAKAZIA...We angalia namna ya kujikwamua mwenyewe usitegemee kuchomoka kimaisha Kwa hizi harakati za kimakundi
Wewe hapo unatumia ID feki halafu unataka VICOBA. Ukishika hela za wenzio si ndio utahama mazima humu JFYaani VICOBA ili kujikwamua katika hili na lile...ni wazo tu waungwana....au ninyi mwafikirije?
Ni kweli mkuuAmen
Na kwa Teknolojia iliyopo kwa sasa inawezekana kabisa kabisa.
Nami nikaribieMie ni bilionea mjomba ninamiliki meli....hili ni wazo tu humu jf watu wa IT waumize vichwa waje na vikobesha tuweke na kutoa kusaidia wenye mahitaji kama wewe karibu.
HongeraLakini kimaisha mie nilishachomoka kitambo...Nina miliki meli kadhaa za mizigo.
Acha ujinga, SI wengine ni ma jobless pro max 🤒Jf kila mtu anazo pesa na alishajikwamua.
Yaani VICOBA ili kujikwamua katika hili na lile...ni wazo tu waungwana..
tulishawahi kuanzisha Jamii Empowerment Saccos na haikutoboa matokeo yake tukaanza kudhulumiana na kutapeliana tu. Mpaka leo hizo documents za vikao ninazo. Humu ni mtandaoni Mkuu tafuta njia nyingine tu.