Hivi humu JamiiForums hatuwezi kuanzisha vikobesha

Hivi humu JamiiForums hatuwezi kuanzisha vikobesha

Mie ni bilionea mjomba ninamiliki meli....hili ni wazo tu humu jf watu wa IT waumize vichwa waje na vikobesha tuweke na kutoa kusaidia wenye mahitaji kama wewe karibu.
Yaani hapa tuko kizombizombi na majini ya bandia afu unataka tuchezee hela?? Hela sio kinyesi cha buza
 
Back
Top Bottom