Hivi humu JamiiForums kuna wanawake wenye roho mbaya kama huyu?

Hivi humu JamiiForums kuna wanawake wenye roho mbaya kama huyu?

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Nimemuonea huruma sana huyu jamaa alichofanywa na huyu mwanamke wake wa zamani. Maneno aliyoambiwa nadhani yameacha vidonda vikubwa na kama akipona basi, itakuwa ni baada ya muda mrefu sana. Vijana wangu, sampuli za namna hii siyo nzuri kwa afya yako, zikimbie kila zinapojaribu kukukaribia.

 
Ila kavulana kametia huruma masikini hadi nimekahurumia.
Hiki kipindi nimekipenda, ngoja nikaangalie vingine.
Yaani haka kabinti bado kanakipenda sana hicho kijamaa, lakini kalijipanga kumkomoa!
 
Nimesoma comments kila mtu anamsimanga binti. Yawezekana pia hampendi kweli.
Nope she's just a mean and conniving hood-rat.
She should never have dated him, if she didn't feel a thing.
 
Back
Top Bottom