Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Worse case scenario, UCHEBE happens to be that ex-boyfriend.Nahisi watu watapigana kwny interview
Airforce, It's Nike Airforce.......!Mkuu huyu ni wewe yule uliekuwa na avatar ya supra?
Got it.Airforce, It's Nike Airforce.......!
Hayo yanatokea ujue, sio dating tu hadi ndoa watu wanafunga ilimradi tu na mtu hayuko moyoni.Nope she's just a mean and conniving hood-rat.
She should never have dated him, if she didn't feel a thing.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kabisa.Msema kweli mpenzi wa Mungu.
Nimewaza mwanaume wa kibongo umweleze ukweli mchungu namna hiyo kwanza atakuporomoshea matusi na kipondo juu.Nahisi watu watapigana kwny interview
That's a pure monkey business! No wonder many relationships are putrid dumps.Hayo yanatokea ujue, sio dating tu hadi ndoa watu wanafunga ilimradi tu na mtu hayuko moyoni.
Wazee wa zamani ndio walianzisha hili balaa, unalazimishwa kuolewa na mtoto wa mzee fulani kwakua tu ni matajiri, au ana tabia njema nk. Matokeo yake sie tulopewa uchaguzi wa kuwa na mnaependana bado tumefumbwa ufahamu na kurudi kule kule.That's a pure monkey business! No wonder many relationships are putrid dumps.
Dating for the sake of dating, mapenzi hayatakiwi kuwa hivyo bwana.
Aaaaah Becky......How are you!once you put a bi***h on the camera,wants to steal attention by being rude...
Mimi ninaye mwanamke anaroho mbaya zaidi ya huyo,alishabeba ujauzito wangu alafu kipindi anaujauzito akagongwa na mshkaji wangu,nikamuuliza kwanini umefanya hivyo akaniambia uchi ni wangu na kama unaonea huruma hii takataka uliyoiweka tumboni mwangu nitaitoa,na kweli akaitoa ile mimbaMhhh She's brutal aisee!
Hiyo I'd yako kila nikimkumbuka dong yi najikuta nafsi yangu inaniambia sijawahi kuona series Kali ya Korea kama fraternityMalcom Lumumba i think...
Aiseee! Pole sana braza' nahisi wewe ni mpole sana.Mimi ninaye mwanamke anaroho mbaya zaidi ya huyo,alishabeba ujauzito wangu alafu kipindi anaujauzito akagongwa na mshkaji wangu,nikamuuliza kwanini umefanya hivyo akaniambia uchi ni wangu na kama unaonea huruma hii takataka uliyoiweka tumboni mwangu nitaitoa,na kweli akaitoa ile mimba