WANAKUJA...
![]()
Duuh kauchawiwenyewe ndio hivi sasa unafaidagani mbona kamaa maskinisana duuh hiini laana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WANAKUJA...
![]()
laaaaaaaaaaaanakum!!!!!!Hiikitu ushirikina minaanza kuamini sasa kwamba IPO nainanguvu, haiwezekani Wapigwetu, na vijisenti au kibajaji waendelee Ku savaivu mjengoni pamoja na ma scendo yoote hayo kama tokomeza, escrow na mengine mengi,hiimijitu imejigangasana it's impossible.
laaaaaaaaaaaanakum!!!!!!
mkuu mnyama k,hii milaaaaaanakum ndio hiyo hiyo mizee mifisadi!!!!Hahaha mkuu mbona umeivuta sana hii laanakum, kwanza manaake nini na nanindo Huyo lanakumu ni hii mizee ving'ang'anizi au?.
mkuu mnyama k,hii milaaaaaanakum ndio hiyo hiyo mizee mifisadi!!!!
kumbe mwanadiwani na msalani wanatandika vizuri tunguli?waje mkuu,au ndo wameweka akiba ya 2015?Wachawi wapo kama vile akina Mwanadiwani, MSALANI na wengineo wenye tabia kama zao
na nawasubiri kwa hamu,kama huyo aliyemuweka mkuu tyta!hivi ni mbunge wa wapi?
Aaah mkuu! Ina maana humuoni Mheshimiwa Jaffu huyo? Hata bila miwani anaonekana.
Ova
Duuh kauchawiwenyewe ndio hivi sasa unafaidagani mbona kamaa maskinisana duuh hiini laana.
Ni tajiri huyo!
Nikweli nitajiri wa majini na misukule.
Mchawi hawezi kukuroga kama hajui jina la mzazi wako Wa kike
Nasikia mkuu Likud na majimoto!Mchawi sio lazima akuroge,,,hata kuwa na husda na wivu wa maendeleo nao ni uchawi tosha. Kwahiyo hawakosekani hata kidogo
Bado kidogo mkuumkuu umeacha lini uchawi!?
Ushawahi jaribu nini...