View attachment 303310 jamaa kwangu wanapitaga mia mbili
nasikia yupo chizi na ndondocha wanagombea ukuu wa nchi huko??!
hiyo dp yako mbona imekaa kiwanga wanga???
Mimi ninao wa congo
huo hauna nguvu siku hizi..jaribu tuone
sawa bwana wacha nitume combora toka rutchuru hahahahah
Dah kazi kweli kwani we simchawi?