Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kiukweli kitu nimenyimwa ni confidence siwez ongea mbele za watu kitu kikaeleweka hiko kispain nitaongea na nani 😀😀hapo unawaza habari za kuolewa au watoto sio bure😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli kitu nimenyimwa ni confidence siwez ongea mbele za watu kitu kikaeleweka hiko kispain nitaongea na nani 😀😀hapo unawaza habari za kuolewa au watoto sio bure😀😀
tujifunze wote tusumbue watu humu ndani😃Kiukweli kitu nimenyimwa ni confidence siwez ongea mbele za watu kitu kikaeleweka hiko kispain nitaongea na nani 😀😀
Labda kama ni hivotujifunze wote tusumbue watu humu ndani😃
Abeeeeh shangaziiAunt [emoji23][emoji23][emoji23]
kalale dogo 😂tujifunze wote tusumbue watu humu ndani😃
😀 ila sasa uje gheto kujifunzaLabda kama ni hivo
mdogo wangu ukitobia mtihani kesho niite mbwa😀 nimekaa palekalale dogo 😂
😀😀Kha Yamekuwa hayo 😀😀 ila sasa uje gheto kujifunza
nisipofanya ujinga saivi nikizeeka ntakumbuka nini?? 😂mdogo wangu ukitobia mtihani kesho niite mbwa😀 nimekaa pale
mvumilie tu kijana😂 usiku ni mrefu kwelikweli😀😀Kha Yamekuwa hayo 😀
Na hivi analea kazi anayo had watu wapone ameshakesha vya kutosha humu 😂😂😂mvumilie tu kijana😂 usiku ni mrefu kwelikweli
anateseka kweli kupika na kufua 😂Na hivi analea kazi anayo had watu wapone ameshakesha vya kutosha humu 😂😂😂
🤣🤣 utakumbuka jinsi ulivyo chat na watu usiowajua wakati wenzako wanapiga hela na shule walisomanisipofanya ujinga saivi nikizeeka ntakumbuka nini?? 😂
Bila kusahau kubembeleza kachanga😂😂 😀😀anateseka kweli kupika na kufua 😂
sina madhara kabisa😀😀😀Kha Yamekuwa hayo 😀
kulea sio kaz ndogo nina ugumu kama wote naweza kufa kwa ugumu🤣Na hivi analea kazi anayo had watu wapone ameshakesha vya kutosha humu 😂😂😂
mnanijungua na huyu dogo mshamba_hachekwiBila kusahau kubembeleza kachanga😂😂 😀😀
Uvumilie kufa hautakufa ila Cha moto utakiona ugumu mbona sio ishu ukiamua tu unaweza 😀sina madhara kabisa😀
kulea sio kaz ndogo nina ugumu kama wote naweza kufa kwa ugumu🤣
😀Kwani tumesema uongomnanijungua na huyu dogo mshamba_hachekwi
kwanza hakikisha unakojoa we mshamba_hachekwi kabla hujaenda kulala😀usije kujikojolea
ni mwendo wa kubadilisha nepi 😂mnanijungua na huyu dogo mshamba_hachekwi
kwanza hakikisha unakojoa we mshamba_hachekwi kabla hujaenda kulala😀usije kujikojolea
mimi sio mzembe kiasi hicho😂🤣🤣 utakumbuka jinsi ulivyo chat na watu usiowajua wakati wenzako wanapiga hela na shule walisoma
watoto wako watakufukuza kwenye urith wa mzee wote mtakuw mnagombea😔😔