Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Isije kua umekutana na Bi Hajati wa humu Kijana kwa tamaa zako za ujana maji ya Moto!!!??
 
Kazi ya aibu kwamba anajiuza au?
 
Wewe unaona kazi ya mwenzako ni ya aibu wakati ndiyo inayoendesha maisha yake? Hongera nyingi kwako wewe mwenye kazi nzuri isiyo ya aibu.
 
Hata mimi nimeshangaa unaita kazi za watu aibu? Kazi ni wajibu tuliopewa na Mungu mwenyewe
Ujinga na ulimbukeni unamsumbua mtoa mada kazi yoyote halali ni kazi nzuri na bora aijalishi ni aina gani na mshahara wake ni kiasi gani?
 
Unafanya wewe au mtoa mada
Itakuwa hiyo kazi ya huyo demu aliye kutana naye ...itakuwa walivyo kutana jamaa kaleta story za jf wakati wa kazi [emoji1787] demu kamwambia anampotezea muda kama anayo pesa waende kumalizana fasta
 
Hahahaha,punguza bangi mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lilikua libibi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…