Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Isije kua umekutana na Bi Hajati wa humu Kijana kwa tamaa zako za ujana maji ya Moto!!!??
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Kazi ya aibu kwamba anajiuza au?
 
Wewe unaona kazi ya mwenzako ni ya aibu wakati ndiyo inayoendesha maisha yake? Hongera nyingi kwako wewe mwenye kazi nzuri isiyo ya aibu.
 
Hata mimi nimeshangaa unaita kazi za watu aibu? Kazi ni wajibu tuliopewa na Mungu mwenyewe
Ujinga na ulimbukeni unamsumbua mtoa mada kazi yoyote halali ni kazi nzuri na bora aijalishi ni aina gani na mshahara wake ni kiasi gani?
 
Unafanya wewe au mtoa mada
Itakuwa hiyo kazi ya huyo demu aliye kutana naye ...itakuwa walivyo kutana jamaa kaleta story za jf wakati wa kazi [emoji1787] demu kamwambia anampotezea muda kama anayo pesa waende kumalizana fasta
 
Darasa la 7 mbona mbali sana mkuu? Tupo tulioishia darasa la4 wengi tu hamtutambui au tutumie lugha&uandishi mbovu ndipo mtutambue?

HATASISIPIANIWATUJAMANIKWANINIMNATUTENGAHIVYO?
AMAMNATAKAHUMUMUBAKIPEKEYENU JAMIIFORAMU? TUONEENIHURUMANASISITUNAIPENDAMITANDAO HATAKAMAHATUJASOMASANAKAMANYIEMABOSIZETU[emoji26].

[emoji23][emoji23]
Hahahaha,punguza bangi mkuu.
 
Na kuna wanawake humu wanajiona wanakomenti vizuri, sijui kujiona wana status humu JF, mbaya zaidi kuna wanaume wengine humu wamkaa kishoga uzi ukipostiwa na mwanamke basi yanakuwa kama majibwa koko.


Nikiri kuna Dada mmoja tulifahamiana inbox, tukawa tunachat watsap pia tukachati mida mrefu huku nikiamini utelezi sikosi.


Si akatuma picha zake, na akashare akaunt yake ya IG na mimi nikampa Yangu ya IG

Mtumeeeeee!!!!!

tubakie hivhivi anonymous
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lilikua libibi??
 
Back
Top Bottom