Hivi humu Jf ni mimi tu niliyepo bongo?

Ukija kwenye usafiri sasaaa, unaweza ukajihisi ni wewee peke ako ndio unapanda daladala humu JF.
 
Mi nipo bongo mkuu


Ila huu mwaka nakuomba member mwenzangu rafiki angu wa karibu baharia mzoefu gh hussa wa meli za masafa marefu niondoee kimagendo ktk hii nchi ya mabalaa

Sent using Jamii Forums mobile app


Tuzamie hata Latin America
 
Ni wewe tu,wengine tupo Califonia kama uanelekea Himo international airpot,kabla ya kufika Kisongo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm mwwnyewe kesho ninaingia UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tuu tupo Bongo. Kichwa cha habari kimenifanya nicheke.....🤣🤣🤣🤣
 
Hivi kuwa Ulaya,US ni big deal? Mbona nyuzi nyingi humu tunaambiwa huko maisha magumu sana?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…