Mkuu umetisha!Uzi wa kifo cha Mwanajamiiforums.
Siku hizi unakawia sana kujibu... ntakutumbua ebooHuku watu tumetofautiana ndio maana karibia kila uzi unapingwa labda wa kifo tu; JF kuna watu wabishi aisee
Hahaha nina sababu yangu maalumu mkuuSiku hizi unakawia sana kujibu... ntakutumbua eboo
Itaje sababu gani hiyo au hujui kama ushajizolea umaarufu?Hahaha nina sababu yangu maalumu mkuu