Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wanaolewa na low value menLakini cha ajabu wanaolewa karibu kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaolewa na low value menLakini cha ajabu wanaolewa karibu kila siku
Ni kanuni gani inayoamua kwamba mwanamume kuoa single mother ni ujinga na upumbavuNchi zote duniani single maza hawana thamani
Ni wanaume wapumbavu na wajinga ndio wanaowaoa single maza
Baba yako alimuoa mama yako akiwa single maza?Ni kanuni gani inayoamua kwamba mwanamume kuoa single mother ni ujinga na upumbavu
Sifa za low value men ndiyo zipiWanaolewa na low value men
Baba yangu na mama yangu wanahusikaje hapa, mkishakosa hoja mnakimbilia ad hominem attacks, jadili hoja iliyoko mezaniBaba yako alimuoa mama yako akiwa single maza?
Maneno mengi ila msingi wenyewe upo hapa. Kwa kifupi huo ni mzuka wa penzi jipya tu muda ukifika utajua ujuiNajua mshaelewa kilichonikuta nime fall in love kwa mama fulani
Sasa mtu umemkuta na mtoto wake, unataka amkane ndo aolewe?..kwenye sex ni kwamba walio olewa na watoto na walio olewa kabla ya kuzaa wote hutoa "mizigo" kwa waume zao, sasa tuseme nini?????. Kwamba ngono ya singo maza kwa mumewe ni ulinzi wa mtoto wa kufikia????....aliyeolewa bila mtoto akifanya ngono na mumewe huwa anamlinda nani?Single mother yoyote atakwambia "atakaenipenda mimi ampende na kumkubali mwanangu pia", maana yake rahisi ni kwamba nitampa mzigo/s£x kama malipo ili achukue nafasi ya baba mzazi aliekimbia na atoe huduma zote kwangu na kwa mtoto
Tafakari hili chukua mda wa kutosha
Hata Australia miaka ya 1980s-90s walikejeliwa. Hii inaitwa labelling, Leo hii single mama ni tatizo lakini gambling sio tatizo. Lakin ukirudi nyuma miaka ya 2005-2013 Tanzania ilikuwa vise versaUnaweza ukapoteza single mother wa kukusaidia maishani kwa sababu ya uchoyo na ubinafsi na chuki na kiburi.huijui kesho yako wape watu nafasi waishi.unaweza kukuta huyo unayemuona hajazaa amewahi kutoa mimba mbili na ashafanya mapenzi zaidi ya mara 500 Ila single mothers ukakuta amefanywa mara 70 tu na kapata mtoto means ni mzima.kuhusu hoja kwamba kupasha kiporo na baba mzazi ni uongo baba wazazi wengi wamevurugwa hata hawatunzi watoto wamebaki kuhudumiwa na bibi zao mungu ni mwema wanakula na kusoma hakuna tena mapenzi na baba zao mtu akikupenda mpende muheshimu.
Najua mshaelewa kilichonikuta nime fall in love kwa mama fulani maisha yenyewe yanaenda kasi sana miaka kumi nyuma unaona kama juzi tu kumbe umekuwa unahitaji na wewe kufanya vya maana na ukikaa na mke hela unaiona wanawake kwenye kuzungusha hela ni hodari kuliko sisi na siokukimbilia kufunga Harusi.Ndoa sio lazima we vuta wazazi siku hizi waelewa wanajua maisha yamechange hawawezi kukunyima ule raha na mtoto wao sasa hivi tuwape chapuo single mother ni wachapakazi tuwape nafasi.
Africa ipi hiyo inaishi kwa kanuni zake ?Kama unaishi Tanzania ishi Tanzania
Kama unaishi ulaya ishi ulaya
Jihadhari usiishi Tanzania kama uko ulaya. Hapa ni Africa, tumia kanuni za Africa, tamaduni za Africa, vinginevyo kubali kuumia.
Mwanaume yeyote anayeshusha standards ili tu apate mwanamke wa kufanya naye maishaSifa za low value men ndiyo zipi
Nilikuwa na maana kubwa sana kukuliza hivyoBaba yangu na mama yangu wanahusikaje hapa, mkishakosa hoja mnakimbilia ad hominem attacks, jadili hoja iliyoko mezani
Mungu alimuumbia Adamu mke Hawa akiwa bikira na hakuwa single mazaNi kanuni gani inayoamua kwamba mwanamume kuoa single mother ni ujinga na upumbavu
Oohh kwahiyo kipimo cha ujinga na upumbavu ni kushusha standards zako ili uwe na mtu wa aina fulani kwenye mahusiano, kwamba boss wa kampuni ambaye kaoa single mother ni low value man kuliko kibaka wa mitaani ambaye kaoa mwanamke asiye na mtoto, na kwa mantiki hiyo hata mwanamke ambaye kashusha standards zake ili aolewe na mwanaume fukara na masikini ni low value woman siyoMwanaume yeyote anayeshusha standards ili tu apate mwanamke wa kufanya naye maisha
Mfano anayeoa single maza ameshusha standard ya mwanamke wa kufanya naye maisha
AU mwanaume anayesimp
Kwamba jibu la hilo swali lako ndio lingeamua whether single mother anafaa au hafai, kwani baba yangu ni role model wa wanaume wote duniani kiasi cha kumtolea yeye kama mfano, sidhani kama baba yangu kutomkuta mama yangu akiwa single mother ndio sababu tosha inayodhihirisha kuwa single mothers hawafai kuoaNilikuwa na maana kubwa sana kukuliza hivyo
Sasa unatolea mfano wa hao binadamu wa kwanza kuumbwa ulitaka Hawa atumike na nani haya kwani Adam ndio alikuwa ameshatumika, naye si alikuwa bikira ishu hapa ni kwamba wanaume ndio hamko tayari kujitunza, hata wanawake wote wakisema wajitunze hadi ndoa ninyi mtakosa wa kufanya nao na hamtaweza kuvumilia na kusubiri hadi ndoaMungu alimuumbia Adamu mke Hawa akiwa bikira na hakuwa single maza
Mungu aliruhusu mimba ya Yesu ibebwe na mwanamke ambaye hakuwa single maza
Amewagiza wanaume waanzishe familia yaani waanze maisha na wanawake ambao hawajazaa
Haijalishi nafasi aliyo nayo ni boss kazini ila mpumbavu kwenye maisha ya ndoakwamba boss wa kampuni ambaye kaoa single mother
Havihusianihata mwanamke ambaye kashusha standards zake ili aolewe na mwanaume fukara na masikini maana yake ni mjinga na mpumbavu siyo
Hatuhitaji role model kwenye hilo. Iko wazi mwanaume makini haoi single mazakwani baba yangu ni role model wa wanaume wote duniani kiasi cha kumtolea yeye kama mfano