Hivi huu mjadala wa kishamba wa kuwatoa maana single mother ni hoja Tanzania tu au na mataifa mengine?

Hivi huu mjadala wa kishamba wa kuwatoa maana single mother ni hoja Tanzania tu au na mataifa mengine?

Oohh kwahiyo kipimo cha ujinga na upumbavu ni kushusha standards zako ili uwe na mtu wa aina fulani kwenye mahusiano, kwamba boss wa kampuni ambaye kaoa single mother ni low value man kuliko kibaka wa mitaani ambaye kaoa mwanamke asiye na mtoto, na kwa mantiki hiyo hata mwanamke ambaye kashusha standards zake ili aolewe na mwanaume fukara na masikini ni low value woman siyo

Kwamba jibu la hilo swali lako ndio lingeamua whether single mother anafaa au hafai, kwani baba yangu ni role model wa wanaume wote duniani kiasi cha kumtolea yeye kama mfano, sidhani kama baba yangu kutomkuta mama yangu akiwa single mother ndio sababu tosha inayodhihirisha kuwa single mothers hawafai kuoa

Sasa unatolea mfano wa hao binadamu wa kwanza kuumbwa ulitaka Hawa atumike na nani haya kwani Adam ndio alikuwa ameshatumika, naye si alikuwa bikira ishu hapa ni kwamba wanaume ndio hamko tayari kujitunza, hata wanawake wote wakisema wajitunze hadi ndoa ninyi mtakosa wa kufanya nao na hamtaweza kuvumilia na kusubiri hadi ndoa

Kwahivyo mtazidi kutafuta mbinu za kuwarubuni ili muendelee kuzini nao na kumbuka wanawake nao ni binadamu siyo malaika, mkishawatumia ukifika wakati mnataka kuoa ndio mnajifanya eti mnatafuta bikira wakati ninyi wenyewe ndio mliozitoa, tunapowaambia kwamba mkitaka bikira basi hakikisheni na ninyi mnakuwa tayari kujitunza muwe mnaelewa sasa

Siyo kila kitu mnaleta ubabe na ubishi wa kipumbavu wakati mwisho wa siku mnaumia wenyewe kwa kukosa aina ya wanawake mnaowataka, kisha wenzenu wakiwaoa mnasema wameshusha standards wala siyo kwamba wameshusha standards, bali wameacha kuishi kwenye fantasies wamekuja kwenye reality yani wameamua kukubaliana na matokeo na uhalisia
Mwanaume atamuacha baba yake na mama yake naye ataungana na mke sio single maza

Sir God kashamaliza kusema
 
Haijalishi nafasi aliyo nayo ni boss kazini ila mpumbavu kwenye maisha ya ndoa
Ndio maana nikakuuliza ni universal au general rule gani inayoamua hivyo, maana usikute unataka tujadili mtazamo wako binafsi badala ya uhalisia, yani kwamba boss wa kampuni ni low value man kuliko kibaka wa mitaani eti kisa the former kaoa single mother
Havihusiani
Sasa havihusiani kivipi wakati wewe ndio umetoa hiyo definition ya mtu kuitwa low value au mjinga na mpumbavu
Hatuhitaji role model kwenye hilo. Iko wazi mwanaume makini haoi single maza
Sasa si ndio utuambie huo umakini mnaupimaje
Mwanaume atamuacha baba yake na mama yake naye ataungana na mke sio single maza

Sir God kashamaliza kusema
Hivi huwa unasoma hata unachoandika kweli, sasa hilo andiko ndio uthibitisho wa kwamba single mother hafai kuolewa, kwamba single mother siyo mwanamke au
 
Kama SINGLE MOTHER ni neno la kiswahili basi ni Tanzania tu, la akili mkichwa.
 
nikakuuliza ni universal au general rule gani inayoamua hivyo, maana usikute unataka tujadili mtazamo wako binafsi badala ya uhalisia,
Watu wameshacomment sana mwanzoni kuwa single maza hawana thamani popote ukienda duniani.
 
Sasa havihusiani kivipi wakati wewe ndio umetoa hiyo definition ya mtu kuitwa low value au mjinga na mpumbavu
A broke man who puts in the work today can become successful tomorrow

But a single mom is always a single mom

Ndio maana nikasema havihusiani
 
Hivi huwa unasoma hata unachoandika kweli, sasa hilo andiko ndio uthibitisho wa kwamba single mother hafai kuolewa, kwamba single mother siyo mwanamke au
Nani kwenye maandiko aliwahi kumuoa single maza?

Hata kwenye maisha ya kawaida no mother wishes a single mother for her son
 
Watu wameshacomment sana mwanzoni kuwa single maza hawana thamani popote ukienda duniani.
Watu hao wanasema hivyo kama kina nani na wana mamlaka gani, ikiwa kila siku tunaona single mothers wanaolewa na ndoa zao ziko vizuri tu kuliko baadhi ambao siyo single mothers, hatuwezi kukaa tunajadili mawazo yenu binafsi tunataka tujadili uhalisia uliopo
A broke man who puts in the work today can become successful tomorrow

But a single mom is always a single mom

Ndio maana nikasema havihusiani
Kama ingekuwa ni rahisi hivyo basi hakuna wanaume ambao wangekuwa wanakufa masikini uzeeni, lakini cha ajabu hata hao wanaume masikini hawakosi wanawake kwahiyo hata hao wanawake nao ni low value women sababu wameshusha standards zao, hata single mother anaweza akawa mke bora kuliko sisi wanawake wengine au wewe unataka kusema ndoa zote zenye migogoro ni za masingle mother tu
Nani kwenye maandiko aliwahi kumuoa single maza?

Hata kwenye maisha ya kawaida no mother wishes a single mother for her son
Watu walikuwa wanaoa hadi makahaba sembuse ma single mother, mzazi kutotaka mwanaye asioe mtu wa aina fulani haina maana kuwa hao watu wa aina hiyo hawafai kuolewa, hiyo ni kawaida mfano kuna wazazi hawataki watoto wao wafanye kazi fulani lakini haimaanishi kuwa hizo kazi mbaya maana kuna watu wanazifanya na wanafanikiwa
 
Hatuhitaji role model kwenye hilo. Iko wazi mwanaume makini haoi single maza
Kweli Mimi ninao single mother mmoja na mmoja siyo Single Mother, lakini nimeamua nitamuoa huyu ambae haja zaa ili tuanze Maisha pamoja bila stress, Ukiwa na wapenzi wawili mmoja ana mtoto na mwingine hana mtoto yani kuna utofauti mkubwa sana kwenye malengo, Mwenye mtoto malengo yake ni umlee mtoto wake tu, Ambae hana mtoto malengo yange ni kujenga uchumi na kujenga familia na kuwa na maendeleo.
 
Kweli Mimi ninao single mother mmoja na mmoja siyo Single Mother, lakini nimeamua nitamuoa huyu ambae haja zaa ili tuanze Maisha pamoja bila stress, Ukiwa na wapenzi wawili mmoja ana mtoto na mwingine hana mtoto yani kuna utofauti mkubwa sana kwenye malengo, Mwenye mtoto malengo yake ni umlee mtoto wake tu, Ambae hana mtoto malengo yange ni kujenga uchumi na kujenga familia na kuwa na maendeleo.
A man should start his own family, not join another man's family

Single maza waolewe na wanaume waliozaa nao

Single maza piga sepa usiweke kambi

Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeoa single maza
 
A man should start his own family, not join another man's family

Single maza waolewe na wanaume waliozaa nao

Single maza piga sepa usiweke kambi

Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeoa single maza
Mkuu usilegeze masharti. Biblia inamtaka mwanaume kuoa mwanamke bikra, na huko kwa single parent ni mbali sana.
Ebu pitia Walawi 21;14 Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikra, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka kwa watu wake wenyewe. Mwisho wa kunukuu.

Najua watakuja kusema sijui sisi sio Walawi na blah blah kibao, ila sisi ndio walawi wa zama hizi, na maandiko tunaishi nayo.
 
Mkuu usilegeze masharti. Biblia inamtaka mwanaume kuoa mwanamke bikra, na huko kwa single parent ni mbali sana.
Ebu pitia Walawi 21;14 Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikra, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka kwa watu wake wenyewe. Mwisho wa kunukuu.

Najua watakuja kusema sijui sisi sio Walawi na blah blah kibao, ila sisi ndio walawi wa zama hizi, na maandiko tunaishi nayo.
Ndio maana Mungu alimchagua bikira Maria abebe mimba ya Yesu

Hakumchagua single maza wala aliyepoteza bikira

Single maza ni laana
 
Back
Top Bottom