Hivi huwa mnafanyaje kumkataa rafiki ambaye wewe huna faida naye ila yeye ndio anafaida na wewe?

Hivi huwa mnafanyaje kumkataa rafiki ambaye wewe huna faida naye ila yeye ndio anafaida na wewe?

Ishi humo mkuu..!!
1abbe50503e04c61b7c2a86c93a087c3_1723314510110.jpg
 
Ndugu zangu naombeni msaada wakiushauri kwa maana nahisi kuelemewa.
Mpigie simu mwambie umefukuzwa kazi na biashara imefilisika huna kipato hata chakula ni tabu,hii mbinu ilinisaidia kumkimbiza
 
Usimtafute mpaka akucheki
Usimkatae moja moja kwamaana kila mtu anaumuhim wake wakati sahihi
 
Mchizi nipo naye kijiweni namimi ndiye nileyemleta nahana anachokijua kuhusu mishe za kijiweni ila kwasababu ya love niliyokuwa nayo nimeamua kumpa 50% yakile ninachokipata though yeye hana analolijua na kuna Imani inanijia maybe one day atatamani kujifunza hichi tunachokifanya kijiweni lakini cha ajabu Akili yake muda mwingi kwenye hela tu hana anachofikiria kabisa na kibaya zaidi hii mishe tunayofanya ni hatari sana kwa afya sasa cha ajabu hivi juzi kachukua 100% yakazi tuliyofanya tena bila hata ya aibu baada ya kumwambia kwanini umefanya hivi kanijibu short tu"oya nitakupa mwanangu" daah aisee nimechefuka sana.
 
Mchizi nipo naye kijiweni namimi ndiye nileyemleta nahana anachokijua kuhusu mishe za kijiweni ila kwasababu ya love niliyokuwa nayo nimeamua kumpa 50% yakile ninachokipata though yeye hana analolijua na kuna Imani inanijia maybe one day atatamani kujifunza hichi tunachokifanya kijiweni lakini cha ajabu Akili yake muda mwingi kwenye hela tu hana anachofikiria kabisa na kibaya zaidi hii mishe tunayofanya ni hatari sana kwa afya sasa cha ajabu hivi juzi kachukua 100% yakazi tuliyofanya tena bila hata ya aibu baada ya kumwambia kwanini umefanya hivi kanijibu short tu"oya nitakupa mwanangu" daah aisee nimechefuka sana.
Ni mtu mwenye dharau kwani, kama siyo mpe kazi nyingine.
 
Back
Top Bottom