You are a Genius kaka!Naongea sana peke yangu na enjoy hilo
Hahaha hahahahah kikao na halmashauri ya kichwaMara kibao tu ninapojipata asubuhi jumanne nimeamka bila shilingi mfukoni,huwa ninajiita mimi mwenyewe kwenye mkutano wa dharula.Mimi ndo mwenyekiti,mimi ndo 'secretary' na pia 'treasurer' hadi mwanakamati ni mimi.Kinachofata ni malumbano makali aisee,hadi napaza sauti kwa hasira!''Hivi si ijumaa nilikuwa na kshs 15,000?''('treasurer' huyo)''Sasa hivi sina kitu?''(mwanakamati msumbufu)''Huo si ni ujinga wa hali ya juu?''(Mwenyekiti mwenyewe!)''Unakumbuka wikendi iliyopita ilikuwa ni hivo hivo?''(ka'secretary').....Afu wote wanaanza kuongea kwa pamoja.Hahaha!Kujiongelesha si mchezo aisee,hadi suluhisho lipatikane ndo unajipata umerudi,kumbe ulikuwa umeiacha dunia hii!
Loh bila kujua umepoteza kitu kikubwa kweli seeing into future through time consciousness, changamoto za maisha na mengineyo yamefisha hiyo nguvu japo bado una nafasi ya kuretrievemshana jr Mimi kuna kipindi nilikuwa naweza kuona kinachonitikea mbele,mfano kuna kipindi nipo shule(bweni) nilikuwa naona kabisa najikata na kitu damu inatoka,hata nikwepeje ilikuwa lazima nijikate,nfano mwingine niliweza kuona chuo nilichochaguliwa majengo,stationery na Mimi nikiwa natembea,hali hiyo ilikuwa inatokea nikiwa ninekaa tu peke yangu(sijasinzia),Kwa kifupi nilikuwa naweza kuishi future yangu,hii hali ni nini ,ila baadae ilitoweka yenyewe
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]There are things in life that are very difficult to explain-signature ya mmoja wa member maarufu wa Jf (nimemsahau)
Wonderful, nimejifunza jambo hapaHuwa naongea na nafsi yangu; na nikitoa sauti kuwa hich kitu hapana usifanye ujue sifany kwel; na nikisema divine huu muda ni kwenda kusal ujue nitaacha kila kitu hata kama kitu kiwe nini nitaenda sali.
Wakati mwngine nikikwama naisemesha nafsi yangu kuwa aliye ndan yangu ni mkuu kuliko hicho kilicho mbele yangu.
Huwa nasemesha utu wangu wa ndan cz huu wa nje unaweza shindana na mimi; ila wa ndan always una nguvu sana kwangu.
Nikiisemesha nafsi yangu napata tumaini ni jipya.
Na kamwe sipend kuisemesha nafsi yangu mambo yasio faa. Napenda kuipa tumaini kuwa nitavuka; baada ya hapo hakuna wa kuuvunja huu moyo.
Mawazo yana nguvu sana; mawazo ni mlango pia wa kuingia kibaya na kizuri.
Ina bidi tuwe makini kulinda hili Lango.
Huwa naongea na nafsi yangu; na nikitoa sauti kuwa hich kitu hapana usifanye ujue sifany kwel; na nikisema divine huu muda ni kwenda kusal ujue nitaacha kila kitu hata kama kitu kiwe nini nitaenda sali.
Wakati mwngine nikikwama naisemesha nafsi yangu kuwa aliye ndan yangu ni mkuu kuliko hicho kilicho mbele yangu.
Huwa nasemesha utu wangu wa ndan cz huu wa nje unaweza shindana na mimi; ila wa ndan always una nguvu sana kwangu.
Nikiisemesha nafsi yangu napata tumaini ni jipya.
Na kamwe sipend kuisemesha nafsi yangu mambo yasio faa. Napenda kuipa tumaini kuwa nitavuka; baada ya hapo hakuna wa kuuvunja huu moyo.
Mawazo yana nguvu sana; mawazo ni mlango pia wa kuingia kibaya na kizuri.
Ina bidi tuwe makini kulinda hili Lango.
Najiongelesha mwenyewe ktk me,I & myself...ambazo ulizifafanua......Sawa sasa unajiongelesha na nani?
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Najiongelesha mwenyewe ktk me,I & myself...ambazo ulizifafanua......
Sent from my HUAWEI G750-U10 using JamiiForums mobile app