Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?

Somo zuri sana hili Mr.Mshana,wengi tunashindwa maisha sababu tukiwa peke yetu tunaongea peke yetu mara nyingi roho ya kukata tamaa.
 
Somo zuri sana hili Mr.Mshana,wengi tunashindwa maisha sababu tukiwa peke yetu tunaongea peke yetu mara nyingi roho ya kukata tamaa.
Na roho ya kukata tamaa ni sauti hasi iliyo ndani yetu wenyewe. ..unaisikia kabisa inakwambia hicho kitu hutabeba au haiwezekani kabisa kushinda kwenye hilo....tungeweza kuzitengenezea picha hizi sauti ungekuta nyingine zina sura mbaya kweli
 
Na roho ya kukata tamaa ni sauti hasi iliyo ndani yetu wenyewe. ..unaisikia kabisa inakwambia hicho kitu hutabeba au haiwezekani kabisa kushinda kwenye hilo....tungeweza kuzitengenezea picha hizi sauti ungekuta nyingine zina sura mbaya kweli
Ndio maana mara nyingi mimi jambo likiwa linanisumbua huwa nakaa peke yangu halafu nasema NITALIKABILI na kweli nguvu ya maneno yangu haya yamekuwa yananipa ushindi kwenye vita vyangu vingi sana vya kimaisha navyo kumbana navyo.
 
Huku kwetu tunaongeaga wenyewe ili tusiliwe na simba yani njia nzima unaongea ongea tuuuuu hadi ukifika karibu na nyumba ndio unanyamaza.
 
Huku kwetu tunaongeaga wenyewe ili tusiliwe na simba yani njia nzima unaongea ongea tuuuuu hadi ukifika karibu na nyumba ndio unanyamaza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 





Sijui huu uchambuzi umekaa tu ukaandika unachoamini wewe binafsi? Kama unaamini ni kweli ulichokiandika hiyo tunaita hallucinations kuna researches na studies mbalimbali zimefanywa kuhusu mind hadi bwana Watson yeye aliamua kutafiti kwa nini watoto wakiulizwa kitu huwa wanajibu jibu ambalo si sawa? ILA kama umeandika katika mlengo wa dini may be ni sawa.

Well, jiridhishe kwa kugoogle Freud unconscious mind au google different explanations of Schizophrenia. Angalia Biological au family ( biochemistry, season of birth or birth complications, Genetic, Brain structure kama enlargement of ventricles, Behavioural, Cognitive na Freud tena katika Psychodynamics utaelewa unachotaka kuzungumza.

Good luck.
 
Hiki ulichoandika ni kwa mujibu wa vyanzo na tafiti za wengine hiki nilichoandika mimi ni kwa mujibu wangu mwenyewe na utafiti wangu binafsi baada ya kusoma hizo tafiti na mabandiko ya wengine
Vema tusilemazwe na kuamini kitu eti kwasababu tu kaandika mzungu..nina hakika hiki nilichoandika ungekikuta google kimeandikwa na mzungu usingekiita hallucinations. .kwa njia hii kuendelea kutumia vyanzo vya wazungu bado tuna safari ndefu sana ya kusimama wenyewe
 
Kama unaweza angalia hamna study iliyowahi kufanywa na mtu au kikundi kimoja then ikawa na ecological validity!!
 
Kama unaweza angalia hamna study iliyowahi kufanywa na mtu au kikundi kimoja then ikawa na ecological validity!!
Mimi nitakuwa wa kwanza nilichoandika kiko very precise na nimejirishisha nacho na kiko wazi na rahisi..kwa kiasi kikubwa ninachojaribu kufanya ni ule utumwa wa kutegemea mabandiko ya kizungu na ndio maana wengi huku ukiandika kitu utaombwa chanzo hata kama muda mwingine chanzo ni wewe mwenyewe
Tumesoma ili tuwe na fikra huru na si fikra za kutegemea na kuamini vya wengine
 
Hahhahahaaaa kajitengenea replica na colabo
Ndugu yangu mshana jr
Ni kwani kuna vitu tunavitamani kwenye ulimwengu wa roho ila hatuwezi kuvipata kwenye ulimwengu wa mwili..
Na baadhi hasa malengo tukiyatimiza bado roho inakataa inshort kwa nini ROHO HAIKINAI NA MAHITAJI YETU...
Hata biblia inakiri hivo...pale yesu alipowaambia wana wake..
"Laiti kama mngalijua yale yaletayo amani lakini yamejificha msiyaone"
Ina maana kaka kuna vitu hata tuvihitaji vip hatutavipata..kwenye ulimwengu wa mwilim.
Nieleweshe kaka..
Bado namaswali mengi yakuku uliza kama hutojali
 
Mshana nakushauri utunge kitabu hii elimu itakua msaada Kwa wasioingia huku pia
 
Ngoja nikitulia nikujibu kwa kina jioni tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…