tetee
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 784
- 862
Mlip0 nipo [emoji1] [emoji1]Usisahau pia tuna mada yetu ya malango, panapo wepesi kesho tuiweke hewani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlip0 nipo [emoji1] [emoji1]Usisahau pia tuna mada yetu ya malango, panapo wepesi kesho tuiweke hewani
Ah ah ah sawa hamna shida iweke tu hiyo ya lango tutaendelea; sasa cha kunisaidia anza kumjibu kwa ufupi tu huyo dada ili nipate njia ya kuendelea.Usisahau pia tuna mada yetu ya malango, panapo wepesi kesho tuiweke hewani
Ah ah ah ah haya karibu tujifunzeMlip0 nipo [emoji1] [emoji1]
Sawa sawa na mm nitakua na kitu cha kujibu tayari.Kesho au usiku nikitoka session
sure,ahaha i admit,hii sauti ndo huwa inanishawishi niongee na nimuombe namba ya simu msichana nisiyemfahamu coz inahitaj courage kidogo.Hiyo sauti nyingine ni sauti yako mwenyewe kumbuka ni mmoja katika watatu, lakini pia ndani yako kuna nguvu hasi na nguvu chanya
Sauti inayokutuma kufanya maovu ni nguvu hasi na sauti inayokukataza ni nguvu chanya
Nilikujibu kuwa una ndoto maono lakini pia ni katika muktadha huo huo una ndoto taarifa!they are so vivid
Kuna uzi unaitwa jinsi ya kutafsiri ndoto yakoMimi huwa naona vitu vingi via ndoto, na ndoto hizo nisipoelewa huwa zinajirudia mpaka nielewe au nizifanyie kazi. Nikizifanyia kazi zinapotea, juzi kati kuna nyumba nilikuwa nataka kuhamia. Mara nikaiota kabla sijapelekwa na nilipopelekwa nikaikuta ni ile ile niliyoiota.
Kuna ndoto inanijia kila mara ila bado sijaing'amua ni nini natakiwa kufanya. Naona nataka kupigwa risasi lakini yule anayetaka kunipiga either anazuiwa au ananisamehe... Sijaielewa natakiwa kufanya nini...
Nyingine kuna mahali natakiwa kwenda yaan kusafiri, sasa nimeiona hiyo safari kwamba nilipofika huko tukaambatana na ndugu zangu wengine. Njiani kukawa na mtaro wa maji kama vile mto lakini pamezibwa kwa miti. Nikawaambia ndugu zangu kuwa mimi naweza kupita juu ya hiyo miti wakanikataza nikaacha. Ghafla akapita mtu mwingine mpita njia tu akajaribu kupita juu ya ile miti akazama kwenye maji.
Mimi ndiye nikawa wa kwanza kumsaidia kutoka na kumpa huduma ya kwanza kwa mtu aliyedumbukia kwenye maji kisha nikampeleka kwao. Ndoto ikaishia hapo sikuona mwisho wa ile safari yangu na ndugu zangu. Labda kadri siku zinavyokwenda nitaiona...
Samahani kutoka nje ya mada. Je una uelewa wa hizo ndoto mkuu mshana jr??
Hahah I do this sometimes,..
Hata humu JF kuna mtu ana comment na kujiquote mwenyewe
Mimi huwa naona vitu vingi via ndoto, na ndoto hizo nisipoelewa huwa zinajirudia mpaka nielewe au nizifanyie kazi. Nikizifanyia kazi zinapotea, juzi kati kuna nyumba nilikuwa nataka kuhamia. Mara nikaiota kabla sijapelekwa na nilipopelekwa nikaikuta ni ile ile niliyoiota.
Kuna ndoto inanijia kila mara ila bado sijaing'amua ni nini natakiwa kufanya. Naona nataka kupigwa risasi lakini yule anayetaka kunipiga either anazuiwa au ananisamehe... Sijaielewa natakiwa kufanya nini...
Nyingine kuna mahali natakiwa kwenda yaan kusafiri, sasa nimeiona hiyo safari kwamba nilipofika huko tukaambatana na ndugu zangu wengine. Njiani kukawa na mtaro wa maji kama vile mto lakini pamezibwa kwa miti. Nikawaambia ndugu zangu kuwa mimi naweza kupita juu ya hiyo miti wakanikataza nikaacha. Ghafla akapita mtu mwingine mpita njia tu akajaribu kupita juu ya ile miti akazama kwenye maji.
Mimi ndiye nikawa wa kwanza kumsaidia kutoka na kumpa huduma ya kwanza kwa mtu aliyedumbukia kwenye maji kisha nikampeleka kwao. Ndoto ikaishia hapo sikuona mwisho wa ile safari yangu na ndugu zangu. Labda kadri siku zinavyokwenda nitaiona...
Samahani kutoka nje ya mada. Je una uelewa wa hizo ndoto mkuu mshana jr??
Amen. Sifa zirud kwa Mungu aliye hai juuAsante dada @divine,nimepata kitu kwenye post uliyonidirect... Barikiwa mnoooooo!!!!!
Mekupenda bureAmen. Sifa zirud kwa Mungu aliye hai juu