Hivi huwa unajihisi vipi ukilala katika kitanda chenye kunguni?

Wee umekaa mahabusu kumbe mi nimesema jela kabisa ukishahukumiwa
Mahabusu na wafungwa wanalala selo moja ila mahabusu hawavai sare wala hawafanyishwi kazi yeyote ile!
 
Eti kimya kimya hivi unajua kunguni wewe..
Mi kipindi nachimba madini kule mererani tulilala geto moja kwa mshikaji maana kule mmoja akipanga tunalala hata 20 chai na chakula utajua mwenyewe kuoga ni mtoniiii unafua nguo unaanika unaoga huku unasubiri nguo zikauke ndo uzivae tena kule geto ***** kunguni ni kama wote yaani ung'ataji wao ni kama mtu akutoboe na sindano ile ya kushonea magunia [emoji2][emoji2]
Bora kunguni sio chawa,chawa wana kupa kiminyo kaa umelalia miba vile uwezi ukalala kwanza utakimbia kitanda,ila kunguni wananyonya damu kimyakimya.
 
Mkuu mimi ni mwamba wa hao wadudu nimedumu nao kwakweli chawa ni msumbufu sana anadunga ipasavyo kunguni sio kivile.
 
Niliwahi kuchanganya omo na maji nikapita kwa watu naangamiza kunguni...tangu nipite hawajarudi tena.
Nzengo hawakujua ni omo
Mmmmmh labda[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Sasa wakuu Hawa wadudu hawawezi kulima mnadhani wataishije bila yetu sisi
 
kama mimi mkuu kipindi niko boarding chawa walinitesa nachemsha nguo na kufua daily ila washkaj wachafu wananiambukiza!
ila kunguni sijawahi ona, chawa nawajua vizuri wanakaa kwenye mapindo ya nguo hususani boksa na mayai yao ni meupe na yanagandia nguo
 
Wanaume wa dar nyie!
 
Wanaume wa dar nyie!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapana Mkuu hao wadudu sio wazuri kabisa ndani ya masaa machache weshanivimbisha namna ile nikawafikiria wanaolala humo mwaka mzima masika kiangazi mbona wana tabu kwa kweli.
 
wanasubiri ukiwahi mbele za watu ndio wanaanza kukuarest[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hapana Mkuu hao wadudu sio wazuri kabisa ndani ya masaa machache weshanivimbisha namna ile nikawafikiria wanaolala humo mwaka mzima masika kiangazi mbona wana tabu kwa kweli.
Ukizoea mbna c insue sn!
 
[emoji30] [emoji30] , hapo kuambukiza Kwa kiasi kidogo hatari hii,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…