wanachanganya na kijiti...pearl white inachukuliwa nyeupe inadondoshewa matone ya njano mpaka inaenda kwenye u pearl πππ whiteRangi za magari zina namba....kwa mfano gari yangu ni grey na namba yake ya rangi ni K21 G.
Hizi namba huwa wanaziandika pale kwenye mlango wa dereva. Wasipoweka pale basi wataziandika under hood wanapobandikaga kibandiko flan hivi cha aluminium kinaonyesha details muhimu za gari..
Kwa hiyo ukishachukua namba ya rangi, aina ya gari na mwaka iliyotengenezwa ukaenda kwenye maduka yanayieleweka, unapata rangi saafi kama iliyotoka na gari.
Garage za wahuni huwa wanafananisha rangi kwa macho
Quality mzeeSasa si ungewashauri waende wakanunue kwa 50,000 ungesavu 70,000 nzima.
Hio gari rangi yake iliwahi badilishwa mkuuKwaio mkuu unaweza kwenda na hio color code kwa mchina na akakutolea hivyo hivyo au? Maana mwaka 2013 jamaa aliiangalia gari rangi yake kuja kuchanganya rangi ikawa tofauti kidogo na ya sehemu zingine...kuna sehemu huku dar wachina wanachanganya rangi..
hahahawanachanganya na kijiti...pearl white inachukuliwa nyeupe inadondoshewa matone ya njano mpaka inaenda kwenye u pearl πππ white
Hakunaga bei ya hivyo labda kama unafufua gari iliyooza kila kitu. Rangi nzuri kabisa imenyooka kwa mchina haizidi milioni 1.5Ukitaka ifanywe hivo bei yake bora ununue gari mpya unaezajikuta inalamba 5 mil
Litakuwa na mabaka kama gari la jeshiSasa ivi nimeapa sitapeleka gari kupiga rangi lote.. kama sehemu imechubuka napiga hapo tuu.