Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Mjini hapa wanawake wengi wanajiuza wanatofautiana bei na machimbo tu.

Kwa uswa huu nani atakaa dau la mwanaume wa dar anayetumia dakika mbili tu ?
 
Kuna dada mmoja anaitwa Linnah Queen toto alikuwa mteja wake mkubwa na ana pesa balaa,na huyo mdada ni rafiki yake shilole na ambaye ndo yuko nyuma ya mgahawa wa shishi food,huyo mdada alikuwa mteja wake sana na Uwoya naye alikuwa mteja wake.

Bidada alikuwa anamtoa sana jamaa mihela nywele tu laki 8,akamfanyia zengwe uwoya dogo janja akahamia kwa Linnah qeen toto na kuachana na uwoya,tangu hapo uwoya hakurudi tena saloon kwa jamaa ndo ikawa bifu.

Jamaa sijui kawatekaje wadada wa mjini
 
Kuna dada mmoja anaitwa Linnah Queen toto alikuwa mteja wake mkubwa na ana pesa balaa,na huyo mdada ni rafiki yake shilole na ambaye ndo yuko nyuma ya mgahawa wa shishi food,huyo mdada alikuwa mteja wake sana na Uwoya naye alikuwa mteja wake.

Bidada alikuwa anamtoa sana jamaa mihela nywele tu laki 8,akamfanyia zengwe uwoya dogo janja akahamia kwa Linnah qeen toto na kuachana na uwoya,tangu hapo uwoya hakurudi tena saloon kwa jamaa ndo ikawa bifu.

Jamaa sijui kawatekaje wadada wa mjini
Shukrani kwa ku-share nasi
 
Back
Top Bottom