joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nimemuona dem wake Rayvanny naye yumo saloon,kavaa tight imewamba K mpaka Camel toe imejichora yenyewe.
Huyu dem bila shaka Rayvanny anagongewa.
Huyu dem bila shaka Rayvanny anagongewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mpaka ukinipa mkeo niongozane nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jipe moyo, ila angalia usije ukatoka nduki.
Hilo la kuuliza tena wakati anawatafutia madanga...Kuna dada mmoja anaitwa Linnah Queen toto alikuwa mteja wake mkubwa na ana pesa balaa,na huyo mdada ni rafiki yake shilole na ambaye ndo yuko nyuma ya mgahawa wa shishi food,huyo mdada alikuwa mteja wake sana na Uwoya naye alikuwa mteja wake.
Bidada alikuwa anamtoa sana jamaa mihela nywele tu laki 8,akamfanyia zengwe uwoya dogo janja akahamia kwa Linnah qeen toto na kuachana na uwoya,tangu hapo uwoya hakurudi tena saloon kwa jamaa ndo ikawa bifu.
Jamaa sijui kawatekaje wadada wa mjini
Airstoste yeye binafsi ni mboga
Nanikuwadi mzuri wa toto toto za mjini.
yaah sure mkuu.Hakuna mwanaume aliekamilika akaendesha saloon ya kike.
Take it from there
Nimemuona dem wake Rayvanny naye yumo saloon,kavaa tight imewamba K mpaka Camel toe imejichora yenyewe.
Huyu dem bila shaka Rayvanny anagongewa.
Hilo la kuuliza tena wakati anawatafutia madanga...
instagram.com
Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Niseme tu wanawake wanaokwenda kwa aristotee % kubwa hua ni mapunguani..mwanamke mwenye kujielewa huwezi fanya upumbavu wa namna ile
OkUsiseme wote. Wanaokubali kurecordiwa wanakata mauno ndo mapunguani. Wengine viuno vigumuuu wanajidhalilisha tu.
Sasa hivi mtu yuko radhi ajichange akanunue nywele kwa Aristote ilimradi apostiwe tu anakata viuno. Rubbish
Ushaenda kutengeneza nywele pale?Mwanzo nilikua nashangaa inakuaje mtu unaenda kutengeneza nywele halafu unachukuliwa video unachezesha makalio baadae ndio nikang'atwa sikio kua jamaa anajuana na madanga wakubwa wakubwa kwa hiyo wadada wa mjini huenda pale ili warushwe na kuonekana na madanga wajipatie rizki zao.
Mkewe bhana,huyo aristote me wa nnWataka kumuona Arist. au mkewe? Hahaha.
Subiri kwanza,hebu weka pichaKuna dada mmoja anaitwa Linnah Queen toto alikuwa mteja wake mkubwa na ana pesa balaa,na huyo mdada ni rafiki yake shilole na ambaye ndo yuko nyuma ya mgahawa wa shishi food,huyo mdada alikuwa mteja wake sana na Uwoya naye alikuwa mteja wake.
Bidada alikuwa anamtoa sana jamaa mihela nywele tu laki 8,akamfanyia zengwe uwoya dogo janja akahamia kwa Linnah qeen toto na kuachana na uwoya,tangu hapo uwoya hakurudi tena saloon kwa jamaa ndo ikawa bifu.
Jamaa sijui kawatekaje wadada wa mjini
Huyo hata bure sili,kazi mbov mno'Huyu nae kajichoresha tu. Mbona hana mvuto wa kudanga?