Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Nakubali aisee..mimi ni mchaga ila hawa dada zetu hapana.
Kuna dada wa kichaga nilikua nioe alininyoosha mnyoosho mmoja sina hamu naoo aiseee...
Saivi namnyemelea muiraki
Kwel SNA...hi kabila n shida...
 
Asante sana, mtunzi Mimi nimechota mzigo wote kama wazo la kuzaa jambo fulani ktk sura ya kitabu au funzo ktk moja ya project zangu za saikolojia
 

MBAGALA MAJI MATITU !
 
Biashara yako anaidhikiliaje mtu uliyesema hafanyi kazi kila kitu unalipia ww?!

Kuoa beki 3 ni matatizo sana
 
Hata mimi nawashangaa hawa wanaoangalia upande mmoja tu! Joyce na Kilewo inaonesha wana joint account na hela hazitoki bila saini ya wote, mume kauchuna haweki saini watoto wana njaa!
Hawa jamaa wanashan
Ana matatizo ya KISAIJOLOJIA huyu mama jamani asaidiwe maana anaweza letwa MIREMBE kabla KILEWO hajaja MBUNGENI.
Kilewo familia imemshinda ndio ubunge atauweza?
 
kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Joyce ni wale watu wanaotaka waonewe huruma na dunia nzima.

Atasema chochote tu hata uongo ili aonewe huruma. Nilikwishaiona hali hii kwa rafiki yangu wa karibu sana. Hatari sana.
Kwa kuwa wanaume sio walamikaji basi dunia inasikia upande mmoja tu. Laiti kama Kilewo angeelezea upande wake huyu mama angeumbuka vibaya sana.

Hii ndio sababu ya kuanika hizi siri za ndani huko Insta. Anajua akienda na mumewe kwenye kikao cha familia ili wapatanishwe ataumbuka. Lakini anajua akiyasema huko Insta Kilewo hatamjibu. Bure sana huyu mama.
 
Huyu mwanamke anakosea kuyaanika haya. Je vipi huyu anaeng'ang'ania mali za familia wakati watoto wanahitaji kuishi?
Kuna wanaume wanaachana na wake zao wanaacha magorofa for the sake of the kids.
Hivi kweli unamuamini huyu mama anachosema kuwa Kilewo anakatazia hela isitoke kuwalisha watoto wake na kulipa pango? Huyu mama si angekwishafukuzwa ndani ya nyumba kama pango halipi?

Kuna matobo mengi sana katika hii tamthilia anayotulisha huyu mama huko Insta.
 
isije kuwa jamaa yake yupo katika kampeni katika majimbo ya uchaguzi yaliyo wazi.!
 
Neno jema sana
 
HUYU MWANAMKE AMEKOSA SIFA YA UTII KAMA AMBAVYO MUME AMEKOSA AKILI. HVYO WOTE NI WAJINGA. KWA KUWA WOTE NI WACHAGA, WACHA TUTIZAME SINEMA.
Ujinga wa mume wa Joyce uko wapi? Ama ume-conclude kuwa ni mjinga kwa kusoma maandiko ya upande mmoja?
 
Hiy
Jukumu lote la family finances na well being ni BABA.

Hii kugawana ni vituko.Ndio mwanzo wa kudharauliana kama hivi.

Hela ya mwanamke hua ni yake alone,ya sisi Wababa ni ya familia yote!
Hiyo ni old fashion wengine hatuendekezi huu ujinga hutaki kuchangangia akae nyumbani alee watoto
 
Mmmh....insta kuna msaidia nini?

Mambo yako ya familia unaleta social media duuh!

Hii ni aibu kwake, na hamchoreshi huyo marioo, anajichoresha yy mwenyewe, coz now tumejua Joyce ni sugar mumy!
Halafu unakuta sio maria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…