Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Kuweni makini na maamuzi yenu kabla ya kuoa....huyo dhahiri ni aina ya mwanamke ambaye hastahili kuwa mke wa mtu.

Kwa tabia hiyo anaweza kuanika kila kitu hata kama ulikuwa na jibu m....kund.....uni.
Kuna uwezekano kabisa jamaa kamkimbia na kukata mawasiliano na ndio dada kaona njia ya kumpata ni insta..tusimlaumu anapitia pagumu
 
ukikosea kujenga si utabomoa mkuu ivo ivo ukikosea kuoa utaacha tuu-kamanda aje tu muazimie talaka kwa masheh wa bakwata aachane na mzigo huu wa misumari ya kutu
Kubomoa nyumba na ''kubomoa ndoa'' ni vitu viwili tofauti. Kama mna watoto na unawapenda ndipo ugumu unapokuja. Mbaya zaidi nu kuwa mwenza mmoja eg mwanamke anaweza kuwa ni mapepe na wewe bwana unaona kabisa hata tukiachana watoto wangu watakulia kwenye mazingira mabaya. Hapo ndiyo shida huanza. Ila kama hamjazaa ni rahisi kuachana.
 
Dada yangu joyce hujachelewa nenda kamuone bashite private mueleze kilakitu kuhusu kileo naamini atakusaidia juzi siumeona wanaume walivyokimbilia kwa mkuu wa mkoa kuitikia wito maana mwanzo waliukaidi .Hakuna kinacho shindikana kwa yule jamaa.
 
Swali moja kwa joyce.kungekua hamna insta wala fcbk angetuandikia barua tanzania nzima? Tutumie vizuri maendeleo ya kiteknolojia
 
Wanaume MNA roho mbaya sana, hivi hakuna hata mmoja humu anayevutiwa na supawomani akamliwaze? Hebu acheni hizo
 
Da uzur pasipo akili nisawa saa bila betry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…