Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

SIKIENI TU KWA WATU, MWANAUME MBINAFSI ANACHOSHA SANAAAAANA, YAANI UANAKUWA KAMA UPO NYUMBANI PEKE YAKO,
Ni kweli unachosema. Lakini kumuanika mitandaoni ni sahihi? Kwanini usisepe kimya kimya, sidhani kama unalazimishwa kuendelea nae.
Joyce kiria si mfano mzuri kwa mwanamke wa ndoa. Na kwa mtindo alionao atavunja ndoa nyingi za mazwazwa wenzake.
 
Kwa hiyo anachosema dada etu ni kuwa kamanda kaamua kukomaa na mali za familia. Mbaya zaidi anakomoa tu ili huyu dada ateseke bila kujali watoto?
Dada zangu wa Kimarangu huwawezi kuvumilia lazima waongee na hawana aibu, japo pia huyu Kiria naye ana matatizo yake makubwa
 
Ni kweli unachosema. Lakini kumuanika mitandaoni ni sahihi? Kwanini usisepe kimya kimya, sidhani kama unalazimishwa kuendelea nae.
Joyce kiria si mfano mzuri kwa mwanamke wa ndoa. Na kwa mtindo alionao atavunja ndoa nyingi za mazwazwa wenzake.

Mbona jamaa kampiga hadharani ?
Kwanini asingesubiri arudi nyumbani ndo ampige wakiwa chumbani?
 
Mbona jamaa kampiga hadharani ?
Kwanini asingesubiri arudi nyumbani ndo ampige wakiwa chumbani?
Kampiga kwenye mitandao? Mimi sina shida na yeye kusema amepigwa, hakuna anayetetea kipigo. Angelalamika tu kuwa anapigwa tungemuelewa.
Sasa kusema kuwa mumewe halipi kodi na hatoi pesa inatuhusu nini? Si aende ustawi wa jamii au aachane na huyo jamaa?
Ukimfatilia Joyce kwenye account yake instagram utaona kabisa kuna tatizo sehemu.
 
Hizo ndo zinaitwa stress kwan akiwa wanafunguliana acount alikua anatuambia?? Sijwh ona mchaga mjinga ka huyu dada au ndo wachaga wa dar??
 
Huyu dada yuko sahihi , kwa kweli huyu kamanda kilewo pumbafuuu kabisa, unalishwa, unalipiwa kodi, hujui watoto wanaishije halafu unakimbia ili mkeo asiweze kutoa hela za kulisha watoto wako, kweli kuzungusha ngumi hatari kwa afya ya akili,, halafu wanaume wa Dar *':%% kabisa hamna utu hata na watoto wenu, dogo kilewo mpe divorce dada wa watu akatafute maisha, muombe mbowe akupe mtaji, halafu nyie vijana wa ngumi wa dada wa mjini hamuwawezi, Dj alishindwa halafu we mchaga wa wapi sijui utamuweza
 
Unajua sehemu ninazokuwa nikiwa nimetoka.....ndiyo maana ulikuja ukanikuta.

Nimeoenda sana haya maneno[emoji115] .
Mama wa watu hataki kuwa mnafiki wa tabia yake mwenyewe.
 
SIKIENI TU KWA WATU, MWANAUME MBINAFSI ANACHOSHA SANAAAAANA, YAANI UANAKUWA KAMA UPO NYUMBANI PEKE YAKO,
Tena mno mwanaume kama hotpot lenye maharagwe anajijali yeye kama yeye anafurahi akiwa anatoka kwenda kwa makahaba wake, kuna wanaume wabinafsi sana na u mwambie sasa majibu yake unaweza kojoa damu, huyo dada yawezekana kavumilia mpaka kachoka wanaume mnazidi [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Sikupenda hili litokee kwa huyu dada lakini sasa nimeamini Mungu analipa hapahapa duniani. Huyu dada kuna kitu kibaya alinifanya wakati akitangaza kipindi cha filamu cha EATV. Nilimpigia simu na kumuomba anisaidie kuhusu filamu niliyoibiwa na msanii mmoja mkubwa, akanipuuza. Nilipofatilia nilibaini huyi msanii alikuwa bwana wake... sasa si unawapenda wanaume acha kimtokee puani..ingawaje sipendi kinachokutokea... geuka nyuma usimtendee mwingine ubaya. PAMBANA NA HALI YAKO.
 
Mhh!mbombo ngafu!Ila Joyce hizo ni siri za ndani na familia yako kwa ujumla hukupaswa kupost huko Insta.Suala kama hili ulipaswa mlimalize kifamilia,je hamna wazazi?ndugu jamaa na marafiki? Unachokifanya ni kujianika kwenye public ambayo kimsingi haina msaada kwenu zaidi ya kukucheka na kukuhurumia kinafiki.
Mumeo hata kama amekosea hukupaswa kuja kulalamika insta,kila mtu akileta matatizo yake insta ndoa nyingi zisingekuwepo.Kama unaona imefika mwisho ni bora uachane naye ,ingekuja tu stori Joyce kaachana na Kileo basi but kwa unachokifanya unajidhalilisha wewe mwenyewe na mumeo!
But pole kwa yote magumu unayopitia tafuta njia sahihi za kumaliza tatizo lenu na sio Instagram.
Ushaurii mzurii sana huo
 
JKH.jpg

Joyce Let it Go.......Moves On...Yashapita Mbona bado tu unayo? Inaonekana imekuuma sana,itakuwa umepigwa chini kwa tabia yako mbaya ndio maana kutwa vijembe,kama wewe ndio umeacha mbona posts zako zote ni vijembe tu wakti mwenzako hana hata time yupo busy na kulikomboa Jimbo la Kino.
 
Anawashwa?? Bahati mbaya alisema kumla 70% ya mavazi na Gypsum plasta alopaka, sasa ukiongeza ubibi plus maringo hayo, wanaume wanampisha tu kama hawamuoni
 
Nimeelewa vitu viwili..hii ndoa ilikua ishafeli sasa jamaa alichokifanya ni kuacha kila kitu na kuhama nyumbani...sasa kinachotokea ni frustration za aina nyingi kwa mwanamke maana baba hayupo, gharama zimekua kubwa na jamaa si kuwa hayupo ila pia yupo kimya...ndio maana Joyce anaongea kila mahali maana anahitaji msaada ila hajui aupate wapi, na anaomba aachiwe biashara zake kama biashara nizake kwann aombe aachiwe? Hii ina maana kwamba hizo biashara kafunguliwa na mumewe...kwasasa sina cha kumshauri maana hataelewa...huyo kileo atakua anakaa lodge na hela si anayo ...atatafuta katoto kadogo kakutumbua nae..watoto wake watakua wanateseka mno ila kila akimkumbuka mke atakua anaenda mbali zaidi...natamani ningepata nafasi ya kuwashauri wote...tatizo kileo yupo kimya..hujui na yeye yamemsibu yapi...wanaume wana koromeo...poleni watoto poleni sana...nakaribisha PM kwa ushauri zaidi
Asilimia 92% ya matatizo ya ndoa yanasababishwa na wanaume
 
Back
Top Bottom