Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Wakati anamtusi nakumleleta matarumbeta yule dj wa clouds....aleimpokea na ushamba wake alidhani dunia na yake.....Joyce bana
 
sitetei kutekeleza familia lakini nadhani jamaa alikosea kutoa kichapo cha kitoto...inaonekana huyu Joyce ni mtata sana nyumbani...anawaza hela na anataka hela...nearly story nzima ni hela hela...kifupi nadhan kiria anatabia kama zangu...ni mkong'oto wa nguvu...hakuna kitu nachukia kama mwanamke mjuaji..anayejifanya anajua kushauri na mambo mengine anasahau kuwa mwanaume ni heas of family.. a man is the Master not the male partner... a woman is a help not advisor
 
hawa wote walikosewa kuitwa majina walio nayo
 
Asije zingua tu akasema jamaa anakiba100! Itakua soo sana
 
Ogopa sana umaarufu nao pia huondoa ufahamu wankawaida wa kibinadamu.
 
Mwanaume Bora ukosee kujenga nyumba, usikosee kuoa. Kilichomuachanisha huyu mwanamke na mume wa kwanza hivi kuna anayekijua?
Ckijui binafsi. Na sio jambo jema kuoa mwanamke aliyeachwa bila kujua sababu.
 
hakuna kitu huwa nafurahi nikikuta jibwa jike lililokuwa linang'ata wenzie limekamatwa kwenye mtego, linapigwa kipigo cha mwizi, halina pa kwenda, linalialia tu. ni burudani. feminists wameharibu ndoa za watu wengi sana hapa tz, na ni halali yao wapigwe tu.
Ha ha ha ha ha girl is on fire
 
Hivi huyu Dada hajafundwa jaman mbona kila kitu anatoa nje kumuacha uchi mume wake siku ya siku kumuacha hawezi anabaki kuaibika tu
Hahahaaa huwajui wanawake wewe !! Wote ndivyo walivyo Ndio maana baadhi ya wafanyakazi wa CIA huwa hawaruhusiwi kuoa
 
Huyu dada kiboko, bora kayasema yote maana angeamua kujinyonga tungetokwa na povu hapa eti kwann hakusema...better you got free now, we ongea hadi yoooooteeeee yaishe

[emoji23][emoji23][emoji23] wanaume huwa wanajinyonga yakiwafika shingoni, hawasemi wanakufa na tai shingoni kama yule mume wa engineer wa Mbeya aliyekunywa sumu. Wanawake huwa tuna sema na kumwaga yooote na hapo ndipo tunapata afueni. Bora Joyce kasema haijalishi jamii itamchukuliaje kuliko angeamua kuchukua maamuzi magumu. Sometimes its good to vent rather than holding on, the more you vent is the more relief you get and the more you hold on in your heart is the more you keep on hurting yourself. Jamani eeeh yakiwafika hapa semeni kuliko kufa kwa kihoro na uchungu.
 
Back
Top Bottom