neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
BwahaahaaaaaaaInategemea kama yeye ndio analipa kodi utarudi wewe Kolomije!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BwahaahaaaaaaaInategemea kama yeye ndio analipa kodi utarudi wewe Kolomije!
HahahaaaaaaKwa hiyo wanaachana lini?
Kwa hiyo wanaachana lini?
Ckijui binafsi. Na sio jambo jema kuoa mwanamke aliyeachwa bila kujua sababu.Mwanaume Bora ukosee kujenga nyumba, usikosee kuoa. Kilichomuachanisha huyu mwanamke na mume wa kwanza hivi kuna anayekijua?
Kama mikasa unaijua tuweke wazi tujueUpande wa pili haujasema chochote lakini ukikutana na kilewo akakupa mikasa ya huyo mwanamke aiseee ni aibu
Ha ha ha ha ha girl is on firehakuna kitu huwa nafurahi nikikuta jibwa jike lililokuwa linang'ata wenzie limekamatwa kwenye mtego, linapigwa kipigo cha mwizi, halina pa kwenda, linalialia tu. ni burudani. feminists wameharibu ndoa za watu wengi sana hapa tz, na ni halali yao wapigwe tu.
Hahahaaa huwajui wanawake wewe !! Wote ndivyo walivyo Ndio maana baadhi ya wafanyakazi wa CIA huwa hawaruhusiwi kuoaHivi huyu Dada hajafundwa jaman mbona kila kitu anatoa nje kumuacha uchi mume wake siku ya siku kumuacha hawezi anabaki kuaibika tu
Huyu dada kiboko, bora kayasema yote maana angeamua kujinyonga tungetokwa na povu hapa eti kwann hakusema...better you got free now, we ongea hadi yoooooteeeee yaishe
Wote hao ni wachaga hakuna mpare hapo.Mkuu mbona hawa sio wamachame?I mean Kilewo ni mpare na Kiria ni mkibosho au unataka kutuambia pia ni wahaya wote wanata
Kuna wachaga wa Mwanga?Wote hao ni wachaga hakuna mpare hapo.
Kama hujui kutofatisha si ukae tu kimya ya nini kujitia unajua kitu ambacho hujuiWote hao ni wachaga hakuna mpare hapo.