Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje kama ni dada ?Kula tano dada
Nimehisi kwa muonekano wake mkuuUmejuaje kama ni dada ?
Thanks mkuuSafi sana.
Unataka scholarship? Wacheki Harvard
Kweli mkuu, shida wabongo wengi sisi ni wanafikiHuyu dada kiboko, bora kayasema yote maana angeamua kujinyonga tungetokwa na povu hapa eti kwann hakusema...better you got free now, we ongea hadi yoooooteeeee yaishe
Huyu mwanamke anakosea kuyaanika haya. Je vipi huyu anaeng'ang'ania mali za familia wakati watoto wanahitaji kuishi?
Kuna wanaume wanaachana na wake zao wanaacha magorofa for the sake of the kids.
Tatizo la huyu dada ni kutoa siri za ndani,mengine mimi naona yupo sawa,wadada wa kichaga wanahitaji mwanaume anayejitambua,hawataki bora mwanaume,ni kama wanawake wa kikikuyu KenyaKuoa Mwanamke wa Kichagga ni sawasawa na Kulikaribisha Kundi zima la Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS nyumbani Kwako. Ngoja tu nibaki na hawa hawa Mademu zangu wa Kingoni, Kisukuma na Kinyiramba ambao hawana roho mbaya zilizotukuka na Unafiki wa Kiwango cha Kimataifa kama Mwanadada Joyce Kiria.
Asante kwa ushauri. Ila mimi siyo dada nimejiweke tu Viatu vya akina dada.unahisi kwa nn J anasisitiza anampenda?
vp J anashindwa kumuacha kileo wakat analalamika hana pesa?
jiongeze wewe wanaume tuna vifua vya kuhifazi tofauti na nyie!!
kwanza kileo kafanya uamuzi mzur sana j si alsema K ni mzigo alipi kodi wala kulisha familia....
sasa K kaondoka /kampunguzia mzigo lakini kilasiku j kelele haziishi
by the way usi judge kwa kuskiza upande1 pia usimskilize wala kumfata J kwa usalama wa ndoa yako dada.
Bado bado kidogo mkuu.Kwa hiyo wanaachana lini?
Tangu amfuate mdosi kwake hakikuonekana tenaHivi kile kipindi cha wanawake Bado anakiongoza kwenye TV? Maana naona amewaaibisha hata wanawake wezake. Mambo ya ndani anayaleta mtandaoni ili iweje??
kumbuka huyu ni mkewe na wana watoto. hapo watoto ukute wakirudishwa ada,hakuna chakula home ,umeme umeisha etc usihukumu mkuu? je kuna mume hapo?