Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Gitaa la Dally Kimoko limemuingia kichwani linampa wenge
 
Huyu mwanamke anakosea kuyaanika haya. Je vipi huyu anaeng'ang'ania mali za familia wakati watoto wanahitaji kuishi?
Kuna wanaume wanaachana na wake zao wanaacha magorofa for the sake of the kids.
 
Ndoa inadai kiwatenganishe kifo. Wewe harakati zimekulevya !! Hilo swala la Pesa kisingizio.
Kama hujui kiapo cha ndoa Mungu akufundishe kwa kuilamba Pesa yote unayoringia.
 
Kuoa Mwanamke wa Kichagga ni sawasawa na Kulikaribisha Kundi zima la Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS nyumbani Kwako. Ngoja tu nibaki na hawa hawa Mademu zangu wa Kingoni, Kisukuma na Kinyiramba ambao hawana roho mbaya zilizotukuka na Unafiki wa Kiwango cha Kimataifa kama Mwanadada Joyce Kiria.
Tatizo la huyu dada ni kutoa siri za ndani,mengine mimi naona yupo sawa,wadada wa kichaga wanahitaji mwanaume anayejitambua,hawataki bora mwanaume,ni kama wanawake wa kikikuyu Kenya
 
Japo sio poa sana kuanika hadharani mambo ya bdani ila kwa upande mwingine Joyce ana haki ya kulalama
 
unahisi kwa nn J anasisitiza anampenda?
vp J anashindwa kumuacha kileo wakat analalamika hana pesa?

jiongeze wewe wanaume tuna vifua vya kuhifazi tofauti na nyie!!

kwanza kileo kafanya uamuzi mzur sana j si alsema K ni mzigo alipi kodi wala kulisha familia....
sasa K kaondoka /kampunguzia mzigo lakini kilasiku j kelele haziishi

by the way usi judge kwa kuskiza upande1 pia usimskilize wala kumfata J kwa usalama wa ndoa yako dada.
Asante kwa ushauri. Ila mimi siyo dada nimejiweke tu Viatu vya akina dada.
 
Hivi kile kipindi cha wanawake Bado anakiongoza kwenye TV? Maana naona amewaaibisha hata wanawake wezake. Mambo ya ndani anayaleta mtandaoni ili iweje??
 
Unamwongelesha mkeo yuko busy na simu huku ukuryani hamna kitu kama hicho
 
Hivi kile kipindi cha wanawake Bado anakiongoza kwenye TV? Maana naona amewaaibisha hata wanawake wezake. Mambo ya ndani anayaleta mtandaoni ili iweje??
Tangu amfuate mdosi kwake hakikuonekana tena
 
Duh. Sijui nani ni mbaya hapo?
Ila wanawake wengi ni wabinafsi na hawawezi kuvumilia kusapoti familia hata km anajua Mme wake yupo km hayupo. Kiuchumi. Wako radhi ukaibe ukabe nk ili mradi umpokee majukumu hayo huku yy asikubali kuchangia chochote.

Then ni waongo sana inapotokea ukajibu mapigo km jamaa alivyofanya.

Hii issue inafanania kwa mbali na yanayoendelea kwangu.

Wanaume huwa tunawapenda wake zetu sana na si watoto.

Na wanawake huanzisha yao huku wakitumia watoto km fimbo ya kukufanya uwe mtumwa kwake.

Mwanamke anayethamini pesa zaidi kuliko uhalisia wa maisha Huyo ni bure.

Nakumbuka nilishawahi kuambiwa " pesa zake si kwa ajili ya kunisaidia kunitunzia watoto wangu Bali ni kwa ajili ya starehe zangu"

Nami nikamjibu kuwa km ni hivyo naye aache kazi afanye majukumu ya nyumbani tu ya kunihudumia Mimi na watoto. Km hataki basi wote tutabeba huwo wajibu.

Wakati mwingine mnapangiana majukumu, yy anachagua kuwekeza kisha anakwambia ww ulishe familia. Wanawake wana akili sana, tena wengi zinawapeleka wasikokujua.
Mwisho wa Sikh akishaona nalengo ya kuwa na ww yametimia au hayaendi, utasikia ule ni mradi wangu hujawahi kuweka hata shilingi au hii NYUMBA baba ulichangia shillings ngapi? Nk.

Mwanamke anayependa sana vitu kuliko utu ni KICHOMI.

MIMI SIWEZI PATA PRESSURE KISA MKE.

NO BIG NO

Acha aseme hata yote hadi ya kitandani Huyo mwanamke ili apunguze stress. Lakini anajali pesa na kutimiziwa sex tu. Na si kweli kuwa anampenda Mme wake. Naona anahisia za mapenzi tu na si mapenzi ya moyoni.
 
Back
Top Bottom