Kuna mmoja alifariki alikuwa maarufu sana sijui alikuwa anajishughulisha na nini akiitwa Kaloosh.
Kwa umaarufu wake wengine tulidhani ni bilionea anaishi maisha mazuri lakini baada ya kuona msibani wengine tulisikitika sana.
Hivi unakuwaje maarufu Instagram na facebook wakati kiuhalisia una ungaunga maisha. Tusipende kuamini sana hizi picha za photoshop zinazowekwa kwenye social media.
Tupe basi huo mkasaRicardo alifariki nasikia aliwekewa sumu, mkasa wake unasikitisha
Tafadhali usitaje majina ya kikuria kwenye kibanda cha utumbo wa mbuziivi walishaachana na Mwita?
Mwe ama kwelindiyo mkuu
Kwa nini Mkuu?Tafadhali usitaje majina ya kikuria kwenye kibanda cha utumbo wa mbuzi
Doh binamu rudi kwenye ubora wako.Huyo partner wake anaitwa deo mpka jina la fb ninalo, nitalitafuta vzur nimuanike, looh kwanza huo mgahawa walifunguliwa na mzungu mzee mmoja hiv namjua vzur, sasa hyo deo cjui wivu au kitu gan kaamua kumuua mwenzie, huyo deo ukimuona mpole huwez kuamini
Ha ha haHuyu naye ni mpakwa mafuta na bwana.
Mwita ndo naniivi walishaachana na Mwita?
Umefufua kaburi la kaleHa ha ha
Mwanaume akijichora maua jua ni maua kama ule msemo wa mwanamke ni ua la kupamba nyumbaMi nimfuatiliaji wa watu waliong'aa na magwiji katika nyanja mbalimbali !!
Kuanzia siasa, Bongo movies had music kwa hapa nchini Tanzania!!
Sasa sijajua huyu MTU anajiita davito n nani hasa, ni star katka kada ipi maana sijaona movie ,mzki wala kada yyte ambayo anahusika!! Lakini kawa star over night!!
Nachojua ustaar unahitaji kipaji ktk kada husika
Labda wafatiliaji wa media mniambie
View attachment 379276
Huyo aza mtoto wakariakoo niliskia akitajwa kwenye nyimbopetii man wakuache
udedee
aza mtoto wa kariakoo
araphat ngumi jiwe
ricardo momo
[emoji16][emoji16][emoji16]Natumia mbinu za medani
Huyo ana harufu ya kibeberu.Duh!kuna watu kama wanaongozwa na shetani hv huyojamaa anakitugani kamshinda huyo mke wake mbaka anamhongo vitu vyote hivyo?
Basi ni mchicha mwibaNaskia anatoka na wema pia