Hivi huyu Davito ni nani hasa?

Hivi huyu Davito ni nani hasa?

Mameneja voda wako wengi hebu tuelezeni meneja wa kitengo gani hasa huyo mwenye mambo ya k hivi, na huyo mkewe hadi huruma huenda amepingana nae mpaka ameshindwa
Mi nilisikiaga meneja mmoja voda mcity pale, familia yake wanakaa sana abroad
 
Hii sasa kazi wife akishika ujauzito inabidi dua nyingi ewe mwenyezimungu bora tu unipe mtoto wa kike haidhuru hawa wa kiume imekuwa muhali. Sasa sijui tunaelekea wapi!
 
Nasikia mke wa mwanaume wa davtor aliambiwa na mumewe akubali davtor awe mke mwenza au aondoke maana davtor hawez kumuacha, nasikia davtor kwa uchawi hajambo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] uchawi tena
 
Ebo!.Inabidi uwanaume wa dar uwe na sub categories,sie wanaume wa kwa msuguri na rangi tatu hatuwezi kuwekwa kundi moja na hawa wanaume wa kinondoni,sinza na migomigo its unfair kwakweli.hawa wawe na category yao maana wanatuaibisha sana na kutu misrepresent.kubeba na kubwia unga wao,umchicha mwiba wao,ubishololo wa kuvaa skin jeans wao,chipsi kuku wao,kubana pua na kujitoga wao.
 
Ebo!.Inabidi uwanaume wa dar uwe na sub categories,sie wanaume wa kwa msuguri na rangi tatu hatuwezi kuwekwa kundi moja na hawa wanaume wa kinondoni,sinza na migomigo its unfair kwakweli.hawa wawe na category yao maana wanatuaibisha sana na kutu misrepresent.kubeba na kubwia unga wao,umchicha mwiba wao,ubishololo wa kuvaa skin jeans wao,chipsi kuku wao,kubana pua na kujitoga wao.chaa!!
Mkuu hili neno "chaa" linatumika sana na upande wa pili sina uhakika kama we ni wa kwa msuguri
 
naskia anatoka na meneja wa voda...
na mke wa meneja anajua
na kapangiwa nyumba na gari[emoji23][emoji23][emoji23]
mtu anapangiwa nyumba tu, gari huendeshwa. (naona kiswahili kilikupita kulia)
 
Huyu wale wale wauza sura wa mjini, ambao akila mihogo asubuhi picha insta,akila dagaa mchana picha insta,jioni akiwa kwenye kiwanja sijui cha wapi,picha insta..Anajuana na mastar wengi piaa...Mnamkumbuka Marehemu Kaloosh, yule dogo aliyefarik dunia kwa ajari, walkuwa washkaj..Mnakumbuka ile skendo ya Wema kumkiss mwanaume mwengine, alikuwa huyu davto..Pesa kitu kizul..jamaa alikuwa mtu wa kawaida snaa..skuiz dah
 
Back
Top Bottom