Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahahaha kwahio kambi ya Mauki napo fisi waliingia wakaishi na kiburudisho chake π eh bana eeh kweli hii dunia sio yetu!Ndugu zangu sisemi uongo πππ.. mtoto ni mnono haswaaa.. mambo mengine ni ya kambini.. alifundishwa na kijana wangu mambo ya interiol design.. na ndio kijana wangu akacheza kama zinedine zidane π΅π΅ mauki anashauri shauri watu, wakati tukitaka kupoza kiporo simu moja tu kwa pisi yake.. team kabudi hapa naongea..
Extrovert Hplp2275H
Kumiliki demu mkali inahitaji kujiandaa kisaikolojia tu hasa akiwepo hapa mjini DSM!