Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Utafaidi, na upeleke moto hasa hadi mimba ๐๐๐๐๐Nasubiri binti yake akue kidogo tu nianze kupeleka moto, anajikuta Obama sana kisa vibinti viwili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafaidi, na upeleke moto hasa hadi mimba ๐๐๐๐๐Nasubiri binti yake akue kidogo tu nianze kupeleka moto, anajikuta Obama sana kisa vibinti viwili.
Yaani unajikuta unapenda kumsikiliza tuHahah yani jamaa kwenye lecture yake hutamani kumiss ilikiwa. Kwakweli aliifanya course kuwa laini
Wadada walikuwa wana mpenda saaana.Yaani unajikuta unapenda kumsikiliza tu
Sawa alikukera Ila sio shoga jamaniHuyu shoga aliwahi kuwadiss wanaume eti hawana kazi za kufanya wanakaa tu nyumbani kisa yeye anajifanya mwanautopolo na ana kazi UDSM, huyu shoga hana lolote alipata anguko sana na watu waka unfollow mitandao yakoe karibu yote
tupe link[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana group lake la telegram wamejaa wadada wale wa 50/50 tupu
ntajie mfano wa professional psychologist nikawasikilizePovu lote la nini? Mi nimeuliza kujua CV ya jamaa. Na kiukweli huwa namuona anaongea kama mshauri nasaha na si professional psychologist. Kumbe ana Phd ya saikolojia, nashukuru kunijuza.
kwa hiyo unasema kwamba muuza supu ya pweza kagongewa [emoji3][emoji3]Ndugu zangu sisemi uongo [emoji3][emoji3][emoji3].. mtoto ni mnono haswaaa.. mambo mengine ni ya kambini.. alifundishwa na kijana wangu mambo ya interiol design.. na ndio kijana wangu akacheza kama zinedine zidane [emoji204][emoji204] mauki anashauri shauri watu, wakati tukitaka kupoza kiporo simu moja tu kwa pisi yake.. team kabudi hapa naongea..
Extrovert Hplp2275H
hapo.kwenye demo umeniacha kwenye mataayaah! watu hatuna shida na Real account... demo tu inatosha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
jamaa ni shoga kumbeHuyu shoga aliwahi kuwadiss wanaume eti hawana kazi za kufanya wanakaa tu nyumbani kisa yeye anajifanya mwanautopolo na ana kazi UDSM, huyu shoga hana lolote alipata anguko sana na watu waka unfollow mitandao yakoe karibu yote
vipi kuhusu Dr Mwaka?hata ukikaa nae hapa na hapa, jamaa uta note kitu kwamba ana janja janja
Wabongo mna nongwa sana!
Wivu na majungu vitawaua ninyi waswahili.
Ukijumlisha na uchawi mlonao... loh loh loh....
Sasa hapo jamaa ana kosa gani?
Kosa lake ni kutumia elimu yake kuwapa watu maarifa?
Wengi wenu hata huyo Mauki hamumjui, lakini mnashabikia tu!
Jameni! Tutumie mitandao kwa busara bila kuumiza na kuharibu taswira za watu!
tapeli tuNimemsikia sana huyu jamaa lakini nimekuwa na wasiwasi kama ni professional psychologist. Namuona kama ni motivational speaker hivi.
Naomba kujua wasifu wa elimu yake.
ni mmojawapo ya watu niliowadharau sana, pamoja na mkewe ambaye zamani nilikuwa na sikiliza nyimbo zake lakini simu alipokuja kupost kuwa asubuhi walikuwa wamefurahia unyumba na bwanake nikawadharau wote nikaona malimbukeni tu.