Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu unaanzaje kuwa mshabiki wa siasa miaka hii!! Huo si ujinga mwingine? Ila nimesikitika sana kusikia kuwa Joti huwa anakuchekesha.Kilichokufanya umponde Joti ni coz ametaja issue ya katiba,unaonekana umetawaliwa sana na issue za kisiasa,relax mkuu,life is very short.
Jamaa wa Cheka Tu wanajitahidi sana. Wanakaa na kuumiza vichwa.Inawezekana wewe hakuchekeshi ila kuna anao wachekesha watu sio maroboti kwamba watachekeshwa na kichekesho cha aina moja
Kuna clip wako na mzee wake wameenda kuagiza chips. Wanasema wanamuagiza muuzaji, "Weka pilipili, weka kachumbali, weka chumvi, weka majivu, temea na mate!!" Mtu mwenye akili timamu anachekeshwaje na mambo kama hayo?Inawezekana wewe hakuchekeshi ila kuna anao wachekesha watu sio maroboti kwamba watachekeshwa na kichekesho cha aina moja
Kwahiyo unataka mchekeshaji asiye kuchekesha wewe ndio asiwachekeshe watu wote?Mtu unaanzaje kuwa mshabiki wa siasa miaka hii!! Huo si ujinga mwingine? Ila nimesikitika sana kusikia kuwa Joti huwa anakuchekesha.
Humu hakuna anayeweza kumchagulia mtu mwingine cha kufurahia. Nashangaa na kuuliza watu wanachekeshwaje na Joti? Mpaka sasa sijapata jibu.Kwahiyo unataka mchekeshaji asiye kuchekesha wewe ndio asiwachekeshe watu wote?
Hatufanani hisia,unajipa kazi ngumu sana aisee yakuwachagulia watu furaha zao.
Mkuu kuna muandika script na muandishi wa story ni watu tofauti kabisa!.Labda hapo, apate muandika scripts.
we una nini?Anaforce tu but naturally hana lolote.
Kwa madeni uliyonayo huwezi kuchekaKiukweli hajawai kunichekesha na sielewagi anachokichekesha.
Nina mbo**,,vipi unaitaka mtoto wa mama?we una nini?
Ndugai, MwiguluMtoa mada, kwa hapa Bongo ni yupi anae kuchekesha?
Umaarufu una mbeba