Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uvamizi wa Iraq, Libya, Ukoloni,mauaji ya viongozi wa Africa wao wamekemea?Ni unafiki ndio...uvamizi wa urusi nchini Ukraine ni jambo la kukemewa
Which Democracy are propagating here lad?"The world must be made safe for democracy"-woodrow Wilson....
Which Democracy are propagating here lad?
It means mnasapot hii ki2Uvamizi wa Iraq, Libya, Ukoloni,mauaji ya viongozi wa Africa wao wamekemea?
Duu [emoji33][emoji33]Emanuel Macalioni
Vita ya Ukraine haituhusu, tunamatatizo mengi yanataka tuyasolve kwanza before hatuangalia Ukraine, wamemuuwa Gadafi alietaka kuanzisha African Currency, unafkiri viongozi wa Africa hawakuumia? Maana misaada mingi ilikua inatoka Libya na mikopo, yaaani mpaka vikao vya AU alikua akifadhili yeye, bado tuna kovu kubwa la hawa ngurue weupe na hatutosahau wala kusameheYuko sahihi Africa wanatumiliwa ni mataifa ya ulaya na magharibi lakini halikdhalika putin., njaa ndio shida katika hili
We mwanaume Acha kupenda vitu vya bureAfrica wanafiki ila sijawahi sikia kwa hisani ya watu wa Russia
Sio nguruweHuyu mbuzi mweupe siku za raha na starehe alikuwa hatuoni waafrika lakini siku za shida ndio anakumbuka kumbe kuna bara linaitwa Africa.
Every Man For Himself.
Yuko sahihi Africa wanatumiliwa ni mataifa ya ulaya na magharibi lakini halikdhalika putin., njaa ndio shida katika hili
Naona bwana "Macarioni" amemaindi wahuni wa Africa kula Buyu wakati wao wakiendelea kuchezea nakoz toka kwa Mrusi.
We mwanaume Acha kupenda vitu vya bure
Huyu macarion ni king'ast kwa yule m'bib au kazidiwa maujanja tu[emoji41][emoji41][emoji41]Naona bwana "Macarioni" amemaindi wahuni wa Africa kula Buyu wakati wao wakiendelea kuchezea nakoz toka kwa Mrusi.
Nashida zenu mbakinazo wenyewe,sio kutwa na libakuli kuombaomba alafu mnakuwa wanafiki.Mambo yetu atuachie wenyewe...
Hahahahah atakuwa king'ast yakeHuyu macarion ni king'ast kwa yule m'bib au kazidiwa maujanja tu[emoji41][emoji41][emoji41]