Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni makalio haoMbona hamjakemea Libya ambae pia ni Muafrika mwenzenu aliekua anawafadhili mpaka vikao vya AU, yaani mje mtetee wazungu ambao hawawahusu ? Yaani nyie tim nato weusi ni watu wa ajabu sana, akili zenu hazina tofauti na huyo rais wa Ukraine
Nan alipaswa kuwa wa kwanza kukemea kuhusu Libyia , umoja wa afrika , umoja wa ulaya au umoja wa kimataifa ?Mbona hamjakemea Libya ambae pia ni Muafrika mwenzenu aliekua anawafadhili mpaka vikao vya AU, yaani mje mtetee wazungu ambao hawawahusu ? Yaani nyie tim nato weusi ni watu wa ajabu sana, akili zenu hazina tofauti na huyo rais wa Ukraine
nan wa kukemea umoja wa bara husika ? umoja wa ulaya ? tumien akili , maadui ni ndugu zenu wa bara mojaIla la drc na libya Palestina sio la kukemea
which democracy ? reason properly"The world must be made safe for democracy"-woodrow Wilson....
tumia akili , umoja wa hayo mabara husika uliwai kukemea ? yaan nije kwako nadai nyiny mnaitaj msaada wakat wanafamilia wapo kimya hawajasema km kuna ttzo ndan ya nchiUvamizi wa Iraq, Libya, Ukoloni,mauaji ya viongozi wa Africa wao wamekemea?
hizo nchi zipo kweny mabara why wenzao wa mabara husika hawakuwai kupaza sauti ? hao ndo maadui wa kwanza kbsIt means mnasapot hii ki2
mbona hawakuwai kuongea chochote ? unafiki ndo unaliua bara la AfrikaVita ya Ukraine haituhusu, tunamatatizo mengi yanataka tuyasolve kwanza before hatuangalia Ukraine, wamemuuwa Gadafi alietaka kuanzisha African Currency, unafkiri viongozi wa Africa hawakuumia? Maana misaada mingi ilikua inatoka Libya na mikopo, yaaani mpaka vikao vya AU alikua akifadhili yeye, bado tuna kovu kubwa la hawa ngurue weupe na hatutosahau wala kusamehe
ss mngesaidia nini kweny hiyo vita ? wakitaka chochote Afrika wanapata kuda wwte , sbr wamalizan na Urusi , Afrika hakutakalika tenaNaona bwana "Macarioni" amemaindi wahuni wa Africa kula Buyu wakati wao wakiendelea kuchezea nakoz toka kwa Mrusi.
kwann mlikaa kimya ? mm shulen nlifundishwa Ghadaf ni dikteta na hili swali lilikuja mpk kwenye mitihani ya Mock mkoa , ss sijui tunawalaumu nini wazung kwa kumtoa DiktetaAma kweli umasikini ni laana. Kwahyo kipindi hicho wanaivamia libaya tulivyokaa kimya aliona ni sawa ila Sasa kwa sababu mwana kulifind mwana kulipata linawashinda wanatafuta huruma nyepesi
Kasema ukweliMacron akosoa 'unafiki' wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekosoa vikali mwitikio wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Yaoundé.
Bw Macron aligonga msumari na kuita ni"unafiki, haswa katika bara la Afrika" ambalo limekataa mzozo wa Ukraine kuwa ni vita.
Baadhi ya nchi za Kiafrika zimejizuia kukosoa vikali uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Mwezi Machi, nchi 17 za Afrika zilipiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika mzozo huo.
Pia alisema kuwa suluhu pekee la mzozo wa watu wanaoongea kiingereza nchini Cameroon ni uhamishaji wa mamlaka: "Ni kupitia mchakato huu wa kisiasa wa mazungumzo na mageuzi ndipo suluhu la kudumu linaweza kupatikana," Tovuti ya Journal du Cameroun ilimnukuu Macron akisema.
Ok sasahivi dikteta hayupo, vp hali Yao huko?kwann mlikaa kimya ? mm shulen nlifundishwa Ghadaf ni dikteta na hili swali lilikuja mpk kwenye mitihani ya Mock mkoa , ss sijui tunawalaumu nini wazung kwa kumtoa Dikteta
Huyu rais analalamika mno, anadhani waafrika ni wajinga sanaMacron akosoa 'unafiki' wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekosoa vikali mwitikio wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Yaoundé.
Bw Macron aligonga msumari na kuita ni"unafiki, haswa katika bara la Afrika" ambalo limekataa mzozo wa Ukraine kuwa ni vita.
Baadhi ya nchi za Kiafrika zimejizuia kukosoa vikali uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Mwezi Machi, nchi 17 za Afrika zilipiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika mzozo huo.
Pia alisema kuwa suluhu pekee la mzozo wa watu wanaoongea kiingereza nchini Cameroon ni uhamishaji wa mamlaka: "Ni kupitia mchakato huu wa kisiasa wa mazungumzo na mageuzi ndipo suluhu la kudumu linaweza kupatikana," Tovuti ya Journal du Cameroun ilimnukuu Macron akisema.
Huwezi kusikia maana Russia Hana alichokuibia right from ukoloni Hadi Leo...yeye(Russia) anataka utumie rasilimali zako mwenyewe kwa maendeleo yako. Not like others wanaokupa huku wakikuibia.Africa wanafiki ila sijawahi sikia kwa hisani ya watu wa Russia
Ni Ex wenu huyo anakumbuka show! Anataka kupasha kiporoMacaroni anatutakia Nini Africa.
Huwezi kusikia maana Russia Hana alichokuibia right from ukoloni Hadi Leo...yeye(Russia) anataka utumie rasilimali zako mwenyewe kwa maendeleo yako. Not like others wanaokupa huku wakikuibia.