Hivi huyu Macron anatutaka nini sisi Waafrika?

Hivi huyu Macron anatutaka nini sisi Waafrika?

Mbona hamjakemea Libya ambae pia ni Muafrika mwenzenu aliekua anawafadhili mpaka vikao vya AU, yaani mje mtetee wazungu ambao hawawahusu ? Yaani nyie tim nato weusi ni watu wa ajabu sana, akili zenu hazina tofauti na huyo rais wa Ukraine
Ni makalio hao
 
Mbona hamjakemea Libya ambae pia ni Muafrika mwenzenu aliekua anawafadhili mpaka vikao vya AU, yaani mje mtetee wazungu ambao hawawahusu ? Yaani nyie tim nato weusi ni watu wa ajabu sana, akili zenu hazina tofauti na huyo rais wa Ukraine
Nan alipaswa kuwa wa kwanza kukemea kuhusu Libyia , umoja wa afrika , umoja wa ulaya au umoja wa kimataifa ?
 
Uvamizi wa Iraq, Libya, Ukoloni,mauaji ya viongozi wa Africa wao wamekemea?
tumia akili , umoja wa hayo mabara husika uliwai kukemea ? yaan nije kwako nadai nyiny mnaitaj msaada wakat wanafamilia wapo kimya hawajasema km kuna ttzo ndan ya nchi
 
Vita ya Ukraine haituhusu, tunamatatizo mengi yanataka tuyasolve kwanza before hatuangalia Ukraine, wamemuuwa Gadafi alietaka kuanzisha African Currency, unafkiri viongozi wa Africa hawakuumia? Maana misaada mingi ilikua inatoka Libya na mikopo, yaaani mpaka vikao vya AU alikua akifadhili yeye, bado tuna kovu kubwa la hawa ngurue weupe na hatutosahau wala kusamehe
mbona hawakuwai kuongea chochote ? unafiki ndo unaliua bara la Afrika
 
Naona bwana "Macarioni" amemaindi wahuni wa Africa kula Buyu wakati wao wakiendelea kuchezea nakoz toka kwa Mrusi.
ss mngesaidia nini kweny hiyo vita ? wakitaka chochote Afrika wanapata kuda wwte , sbr wamalizan na Urusi , Afrika hakutakalika tena
 
Ama kweli umasikini ni laana. Kwahyo kipindi hicho wanaivamia libaya tulivyokaa kimya aliona ni sawa ila Sasa kwa sababu mwana kulifind mwana kulipata linawashinda wanatafuta huruma nyepesi
kwann mlikaa kimya ? mm shulen nlifundishwa Ghadaf ni dikteta na hili swali lilikuja mpk kwenye mitihani ya Mock mkoa , ss sijui tunawalaumu nini wazung kwa kumtoa Dikteta
 
Macron akosoa 'unafiki' wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekosoa vikali mwitikio wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Yaoundé.

Bw Macron aligonga msumari na kuita ni"unafiki, haswa katika bara la Afrika" ambalo limekataa mzozo wa Ukraine kuwa ni vita.

Baadhi ya nchi za Kiafrika zimejizuia kukosoa vikali uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Mwezi Machi, nchi 17 za Afrika zilipiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika mzozo huo.

Pia alisema kuwa suluhu pekee la mzozo wa watu wanaoongea kiingereza nchini Cameroon ni uhamishaji wa mamlaka: "Ni kupitia mchakato huu wa kisiasa wa mazungumzo na mageuzi ndipo suluhu la kudumu linaweza kupatikana," Tovuti ya Journal du Cameroun ilimnukuu Macron akisema.
Kasema ukweli
 
Huyu ingekuwa enzi za akina Nyerere, Khurumah, Samora, Mandela nk angepewa makavu yake live na asingerudia upuuzi wake.

Sasa kama kweli wana huruma kwa nn hatukuiona kwa raia wa Libya, Iraq,Afghanistan nk.Mandela alishawapaga makavu live kwamba "usilazimishe adui yako awe adui yangu........".
 
kwann mlikaa kimya ? mm shulen nlifundishwa Ghadaf ni dikteta na hili swali lilikuja mpk kwenye mitihani ya Mock mkoa , ss sijui tunawalaumu nini wazung kwa kumtoa Dikteta
Ok sasahivi dikteta hayupo, vp hali Yao huko?
 
Macron akosoa 'unafiki' wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekosoa vikali mwitikio wa viongozi wa Afrika kuhusu vita vya Ukraine wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Yaoundé.

Bw Macron aligonga msumari na kuita ni"unafiki, haswa katika bara la Afrika" ambalo limekataa mzozo wa Ukraine kuwa ni vita.

Baadhi ya nchi za Kiafrika zimejizuia kukosoa vikali uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Mwezi Machi, nchi 17 za Afrika zilipiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika mzozo huo.

Pia alisema kuwa suluhu pekee la mzozo wa watu wanaoongea kiingereza nchini Cameroon ni uhamishaji wa mamlaka: "Ni kupitia mchakato huu wa kisiasa wa mazungumzo na mageuzi ndipo suluhu la kudumu linaweza kupatikana," Tovuti ya Journal du Cameroun ilimnukuu Macron akisema.
Huyu rais analalamika mno, anadhani waafrika ni wajinga sana

Tunajua walioanzisha hiuo vita ni NATO
 
Huwezi kusikia maana Russia Hana alichokuibia right from ukoloni Hadi Leo...yeye(Russia) anataka utumie rasilimali zako mwenyewe kwa maendeleo yako. Not like others wanaokupa huku wakikuibia.

Nimekuelewa vizuri sana sana
 
Back
Top Bottom