Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Alikuwaga na kidduka cha vitafunwa posts are nadhani ni mkwepu pia, but vibanda vilipo ondolewa naye wakawa. Wahanga pamoja na mume we, kama walihamia sin a sehemu fulani, ila maisha yaliwapiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi zenu ndo miaka gani?Enzi zetu tukiwa Mabibo Hostel kuna mama alikuwa maarufu sana eneo lile alokuwa ana.mgahawa wake maeneo yale ambao ulikuwepo njia ya kuelekea geti la Hostel za mabibo alikuwa anaitwa mama mwarabu kwenye mgahawa wake hakuna kitafunwa ambacho kilikuwa kinakosekana pale yeye alikuwa hauzi ubwabwa wala ugali ni vitafunio tu.Sijui huyu mama yupo mpaka sasa?
Id yako inaonesha unatoa tuition ya fitinaZamani sio sasa
Mama mwarabu sio wa mabibo hostel?Alikuwaga na kidduka cha vitafunwa posts are nadhani ni mkwepu pia, but vibanda vilipo ondolewa naye wakawa. Wahanga pamoja na mume we, kama walihamia sin a sehemu fulani, ila maisha yaliwapiga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio wewe, kwa fitna nasikia hujambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah, nimekumbuka kitu hapa.Kino kuna bi farashuu, mnakula gizani chips yai tu hauzi kingine.
Kimbembe mi nikauliza alete mishkaki au kuku.
Nilikoga mitusi nikamwagiwa na beseni la maji watu wamenawa.
Sikwenda tena.
Bana eeh kulikua na pisi kali pale meeting point.
Imeenda ikajua itanikuta si ikaambiwa nimekufa na ngoma.🥲ikalia ikasahau.
Siku mi natoka zangu obay kuja Morocco mitaa ya bestbite pisi hii hapa.
E bana alitoka baru na ni kipande hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Anafkiri mi mzuka,
Upuuzi sasa na mimi nakimbizana nae.
Mpaka namkamata kuna kamlima pale ndo ananiambia niache mi najua umekufa?
Ndo kumkalisha pale airtel mgahawani kuanza kuelezea mpk kunielewa ilichukua muda sana.
Ndo kusimulia kaambiwa na yule bi kizee.