Hivi huyu mama Mwarabu bado yupo Mabibo Hostel?

Alikuwaga na kidduka cha vitafunwa posts are nadhani ni mkwepu pia, but vibanda vilipo ondolewa naye wakawa. Wahanga pamoja na mume we, kama walihamia sin a sehemu fulani, ila maisha yaliwapiga
 
Enzi zenu ndo miaka gani?
 
Alikuwaga na kidduka cha vitafunwa posts are nadhani ni mkwepu pia, but vibanda vilipo ondolewa naye wakawa. Wahanga pamoja na mume we, kama walihamia sin a sehemu fulani, ila maisha yaliwapiga
Mama mwarabu sio wa mabibo hostel?
 
Sasa hilo ni swala la kuanzisha uzi umeshindwa kuuliza watu waliopo hapo kwa simu au wanafunzi mpaka unakuja huku basi sawa tumeshajua umesoma udsm kwa wahitimu feki wanaotutia hasara kila siku na mikataba mibovu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah, nimekumbuka kitu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…