Huwa nasikia kiitikio tu, mama Amina weHee mi kiukweli nauona mzuri unachezeka japo sijafatilia mashairi yake, nampenda sho madjozi aliyeimba humo pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nasikia kiitikio tu, mama Amina weHee mi kiukweli nauona mzuri unachezeka japo sijafatilia mashairi yake, nampenda sho madjozi aliyeimba humo pia
Duuh kwanini wanaitikia hivo sasa😂Mtaani kwetu wanaitikia kum@m@k0000000
Labla inanoga ikiitikiwa hvyDuuh kwanini wanaitikia hivo sasa😂
Wabongo siye kwa kujiongeza🙌Labla inanoga ikiitikiwa hvy
RahaNamkubali sana Mario na best song ya muda wote ya bongo flavour kwangu ni CHIBONGE by Mario
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chomoaaa chomekaa mwenzio nawashwaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaimba vizuri lakini ile mistari ya kuimba "mwanzako nawashwawashwa" next time asiimbe tena aisee.
Mama Amina.Tobaa hivi kweli kaimba hivo au mnamsingizia tu jamani [emoji848][emoji14] wimbo unaitwaje nikajionee hayo maneno [emoji2297]
Hivi sho madjoz alikuwa anaelewa anachoimbishwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sidhaniHivi sho madjoz alikuwa anaelewa anachoimbishwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sidhani
Hivi sho madjoz alikuwa anaelewa anachoimbishwa?
Wanasema anajua kiswahili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sidhani
Anajua ila hajaelewa anachoimba analeta picha gani labdaYule mbna anajua kiswahili, kasoma bongo
Umetisha sanaUnanionea
Marioo
Hivi kweli yupo
Mwenye roho mbaya kukushinda
Maana mi sijaona Duniani
Hivi kweli yupo
Aso na haya kukushinda
Maana mie sijaona sijaona
We mtu gani uko radhi mwenzako ateketee
Wakati unajua dawa yake
Ni kumponya, nihurumie
Ama mtu gani aliefika akaongeza makeke
Na wakati anajua mi kwako ndo napona,
We nihurumie
Mi najua mapenzi
Sio kwichi kwichi tu
Yanayonogaga mazoea Nimekuzoea mmmh
Unanionea, mwenzako siwezi matukio mazito
Unanionea, unanipiga mie
Unanionea, unafanya niamini mapenzi mabaya
Unanionea, lalalaa mmmmh
Na kama kuachana nakubali
Sawa fanya yako
Ila sio lazima unionyeshe uniumize
Au kisa unajua
Unaniacha bado nakuhitaji
Ndo unaona bora unikomeshe Unilize eeeh
Ah poa poa,
Nishajua vya utamu Vinakuwaga vya…
Apewe sportlight na nani?wasanii kama marioo hawapewi spotlight wanayostahili sababu ya uteam na kutokuendekeza kiki za kipuuzi ili aonekane star. Marioo yupo vizuri