Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Wale jamaa akili hawana kabisa ila wanakuja kwa kasi mnoWale watoto ndio hawana akili hata moja.
🤣🤣🤣🤣🤣Wale jamaa akili hawana kabisa ila wanakuja kwa kasi mno
Ni wapuuzi flani wamejichora tattoo hadi kwenye maviNenda kawaangalie vijana wa ovyo ni mapacha wanaitwa island boys [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti wana wazazi we search island boys vidogo sna range miaka 20
Atakua mwanachama wa kufukuana mitaroni mambo ya buza buza mambo ya ruty mbona rainmbow hizoPimbi huyuView attachment 2154177
Nmesoma mahali meneja na tekash mwenyewe anasema kafulia kabisa yano strugling to make ends meet.Yule mjomba sijui kama akili zake zipo sawa, yaani yule ni ngumi mkononi kama msela wa Tandika. Ana matatizo yule, sio bure.
Nmesoma mahali meneja na tekash mwenyewe anasema kafulia kabisa yano strugling to make ends meet.
Hata ela ya kulipa gas alisaidiwa na meneja wake
Inawezekana pia anadanganya yupo broke, maana hii si mara ya kwanza msani kudanganya amefulia anapotakiwa kulipa faini au madeni. Hata kuna kipindi 50 Cent alipelekewa na Baby Momma wake mahakamani ili alipe child support na child support ilikuwa kubwa ikabidi jamaa aseme amefilisika kabisa na akaomba apunguziwe kiasi cha malipo ya child support.Nmesoma mahali meneja na tekash mwenyewe anasema kafulia kabisa yano strugling to make ends meet.
Hata ela ya kulipa gas alisaidiwa na meneja wake
Huo upuuzi unaosema anarap ndiyo ulimwengu unataka kusikia. Asilimia kubwa ya pop / mainstream music ni mambo kama hizo. Na ndiyo soko la muziki linataka. Ndiyo maana utaona kuna wanawake wanacheza nusu uchi au uchi kabisa kwenye videos, wasanii wakiflex magari, cheni, dolari na kutumia strong language (hapa watatukana ama kuzungumzia mambo ya faragha).Jamaa anaimba SHIT tupu halafu anapata viewers hadi bilioni kupitia ujinga wake huko YouTube na ana wafuatiliaji si chini ya 20 milioni. Yaan video zake ndio balaa tupu video vixen wana mizigo mno, kama una roho nyepesi unaweza hata kuwamwaga wa**
View attachment 2154176
Yupo band moja na Mrisho MpotoANAIMBA TAARABU?