GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nadhani sasa ifike muda Mashabiki wa Simba SC tuanzishe Mtindo wa Kuwaadabisha hawa Wanafiki kwa Vipigo Oky?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe kuna muda hueleweki kama ni simba au VP ,anza kwanza weweNadhani sasa ifike muda Mashabiki wa Simba SC tuanzishe Mtindo wa Kuwaadabisha hawa Wanafiki kwa Vipigo Oky?
Nakubalina nawe 100% katika hili Mkuu.Huyo ni project ya utopolo.
Nyuma mwiko walijipanga sana kihakikisha wanashinda kwenye kila pigano na huyu ni ushindi wao upande wa mashabiki.
Nami nimeliona hilo Mkuu. Awe makini sana.Jamaa awe makini watu Wana hasira nae mbaya, atakuja kuumizwa kimzaha mzaha
Umeulizwa?Yanga Bingwa
Yanga BingwaaaaaaaUmeulizwa?
Mkishampatia kipigo akaumia au hata akafa kabisa, mtaifanya Simba imfunge Yanga? Au mtarudi katika ubora ule wa miaka mitano sita iliyopita?Nadhani sasa ifike muda Mashabiki wa Simba SC tuanzishe Mtindo wa Kuwaadabisha hawa Wanafiki kwa Vipigo Oky?
Mkuu Safi sana ....huyu jamaa mnafki sanaWewe mwenyewe kuna muda hueleweki kama ni simba au VP ,anza kwanza wewe
USSR
Huwa hachambui, nadhani humjuiKatika mashabiki na wanachama wa 5imba msomi na anaeujua mpira in and out Mchome ni nguli aliebobea. Napenda sana jinsi anavyochambua mpira bila upendeleo,anatumia sana data.
Kabisa! Kuna yule jamaa wa Kuitwa Makame huwa anaweka rangi nywere, yeye alikuwa anaenda kabisa Airport kuwapokea wapinzani wa Simba! Kuna siku alibananishwa na kupigwa sana...Jamaa awe makini watu Wana hasira nae mbaya, atakuja kuumizwa kimzaha mzaha
WeeeKundu la msimbaziJamaa ni nyoka wa kibisa.Hana madhara.Angalia mivao yake na kurembua.Nasikia ni chakula ya Makamu wa Rais wa Utopolo. Jamaa fulani kutoka Kisiwa cha Karafuu.