Hivi huyu Shabiki Mchome mapovu ni Shabiki kweli wa Simba SC au ni mwana Yanga SC aliyenunuliwa Jezi ya Simba SC ili atudhalilishe?

Hivi huyu Shabiki Mchome mapovu ni Shabiki kweli wa Simba SC au ni mwana Yanga SC aliyenunuliwa Jezi ya Simba SC ili atudhalilishe?

Kama ameshagundulika ni wa kupuuzwa tu hakuna haja ya kutoana damu.Vita ya kweli ni kwenye pitch,Watu wapigwe za kutosha uwanjani itakuwa adhabu tosha kwake na vibaraka wengine.
 
Ni mkazi wa mbezi kwa msuguri mtaa wa singida ila anafanyia shughuri zake mataa wa masaki za uwakala wa fedha mitandaoni
Kwanza huyu jamaa ni muhaa alaf ajakula ata x-mas 5 mjini hapa kwaiy bado anakaushamba flan ambacho kimekuwa powered na online tv kwa kumuaminisha akifany inyoo atakua maarufu ila jamaa flan fala tu na anamaisha magumu
Binafs uwa ananikela sana mkitak kumteka niambieni niwacholeshee raman ili afundishwe kuwa upumbavu ni mzigo
Watanzania hatuna huu upuuzi
 
Ni mkazi wa mbezi kwa msuguri mtaa wa singida ila anafanyia shughuri zake mataa wa masaki za uwakala wa fedha mitandaoni
Kwanza huyu jamaa ni muhaa alaf ajakula ata x-mas 5 mjini hapa kwaiy bado anakaushamba flan ambacho kimekuwa powered na online tv kwa kumuaminisha akifany inyoo atakua maarufu ila jamaa flan fala tu na anamaisha magumu
Binafs uwa ananikela sana mkitak kumteka niambieni niwacholeshee raman ili afundishwe kuwa upumbavu ni mzigo
Kunywa sumu
 
Mchome ni shabiki wa simba wa ukweli na amenyooka nyeusi anasema nyeusi na nyeupe anasema nyeupe. Ushabiki c kusifia tuu hata kukosoa kwa nia ya kujenga ni ushabiki
 
Mumuumize mtu kisa mpira? agh! mbona tunawaweka jela!
Tafuteni pesa vijana acheni chuki.
Shusha pumzi kidogo basi mkuu


Juzi jamaa wamemchania jezi, mob phycology ni mbaya sana, atakuja kupigwa kimzaha mzaha
 
Nadhani sasa ifike muda Mashabiki wa Simba SC tuanzishe Mtindo wa Kuwaadabisha hawa Wanafiki kwa Vipigo Oky?
Tuanze na wewe maana unaongoza kuibagaza Simba hapa jukwaani. Kwako Simba ni wakati inaposhinda tu basi. Haya ulimuwangia Barbara wawatu, sasa umepata nini tangu aondoke?
 
Back
Top Bottom