Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Such a lowlife pussy bastard. Running away from your own truth would be more correct in this case.
You, Kundumuzuku, are so funny 😂 🖕🤣.

Now go suck some dyck somewhere.
 
Ukimalizana na Makonda nitafute. Kama bado utakuwa haujawaishwa makaburi ya Kondo.🤣🤣🤣🤣
Nikutafute? Unataka kuphirwa wewe naona…..

Tatizo mi siphiri Kundumuzuku 🤣
 
Your coward faggot ass compels you to hide behind a fake id and yet challenge some popular public figure with violence?
So what are you saying? You wanna catch fade this evening?

Drop the lo and I’ll pull up.

Your old ass can’t do shit.

I’ll make pepperoni pizza out of your face.
 
So what are you saying? You wanna catch fade this evening?

Drop the lo and I’ll pull up.

Your old ass can’t do shit.

I’ll make pepperoni pizza out of your face.
Making fake threats using a fake id is as fag as it can get. I’m out.
 
Nyie jamaa tangu Bcs times ugomvi wenu utaisha lini asee?

Mwanzoni nikadhani mlishawahi kukutana.
 
Usalama wa Taifa ni nini?
 
Hayo mambo uliyoyataja wewe si ni kazi ya TAKUKURU?

Sasa usalama wa taifa wanahusikaje na masuala ya rushwa na ubadhirifu wakati taasisi iliyo mahsusi kwa shughuli hizo ipo?
Kazi ya Financial Intelligence Unit(FIU) ni nini?
 
Can sense you don't sound so bold like before, you piece of shit. All the fake bravado is suddenly gone.
I told you to drop your location and I’ll pull up.

Or, pull up at EB25 so we can settle this by shooting the fair one.

The night is still young. If you want the smoke, let me know.

🖕
 
Hao TFDA wanapewa tu kama watendaji wa mwisho ila wanao nusa mpaka kupata mpango mzima ni hao TISS.

Ni sawa leo litokee tukio la kigaidi, huwezi kuta TISS wako front, wao wakipata ramani wanawai engage polisi au JWTZ.
 
Wanapaswa kupeleka umbea juu kwenye kila jambo...
 
Kwa nchi za wenzetu ambao wako njema Kiuchumi, dhima ya Hoja yako ndio mojawapo ya Malengo Makuu kabisa ya kuanzishwa na kuwepo kwa Mamlaka za Ujasusi katika nchi zao, yaani UJASUSI WA KIUCHUMI. Tena wako serious na sensitive sana kwenye suala hili, hawana masihara hata kidogo kwenye hili suala. Aidha, Mamlaka za Ujasusi ndio zimekuwa injini za Kuendesha Chumi za Nchi zao, ushauri wa Kiuchumi unaotolewa na Mamlaka hizo kwa Watawala wa Nchi zao umekuwa ukizingatiwa kikamilifu kabisa na Watawala wao.
Katika nchi zetu hizi za ki-Afrika mambo ni tofauti kabisa, Mamlaka za Usalama wa Taifa ziko kisiasa zaidi kuliko ku-deal na Masuala ya Uchumi, that's why we're very poor and we'll still reamain poor until when we change our mindsets.
Kudhibiti ubora wa bidhaa zinazozalishwa viwandani ( iwe viwanda vya ndami ya nchi husika au kutoka nchi nyingine) ni miongoni mwa mambo ya msingi kabisa ambayo mamlaka za Usalama wa nchi zinapaswa kushughulika nayo ili kulinda Usalama wa watu ( consumers) pamoja na usalama wa soko la bidhaa za ndani ya nchi husika. Kama utakumbuka, ktk kipindi cha miaka kadhaa iliyopita, CIA/US walizipiga marufuku bidhaa fulani fulani kutoka China kuingia ndani ya mipaka ya nchi ya Marekani kwa sababu za kiusalama, hali ilyoibua vita vya kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Bidhaa zilizozuiliwa kuingia Marekani ni pamoja na Simu za Mkononi ambazo zilibainika kuwa ni simu za kijasusi (Spy-phones) ambazo zilikuwa na uwezo mkubwa sana wa kudukua mawasiliano ya watumiaji na kisha kutuma taarifa zote watumiaji kwa Majasusi waliopo ndani ya Chama tawala cha Kikomunisti cha China (CPC).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…