Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Wewe ulifikiri kazi za usalama wa taifa ni zipi?
 
TISS kuna taaluma zote unazozijua wewe Duniani na ndiyo maana wakapewa pia jukumu la kufanya vetting ya viongozi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kweli junya.

Hata hujui tofauti ya R na L.

Hujui R uitumie wapi. Hujui L inatumika wapi.

Sasa ndo utajua dhima ya usalama wa taifa kweli?
Mkuu umekunywa pombe gani mbona leo unaandika hoja za kijinga sana.Mimi siyo Mwalimu wa Kiswahili na wala sijajitambulisha humu jukwaani kama mtaalamu wa lugha.
Ila kwa muda ambao nimekuwepo hapa jamvini leo umeandika mashudu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kumkosoa mtu kwa matumizi ya kimakosa ya herufi si ujinga.
 
Mi najiuliza tuu hadi huu ubadhilifu unafanyika ngazi ya halimashauri wao ofisi ya DSO huwa ipo busy na majukumu gani?
Kurundikana kwenye misafara ya Mama, Majaliwa, Mpango....
Kujimwambafai mitaani..
Kutumia blank cheques...
 
Ushauri mzuri sana lakini una madhara ya aina mbili
1. Hali Maisha ya watu kuimarika
2. Watawala kupoteza madaraka
Hapo kwenye namba mbili ndio utata ulipo(Hofu)
 

Mie sijawahi kuona au kusikia mtu analaumu usalama wa taifa mtaani
Mimi naona ni serikali tuu kiujumla sijajua mtaani kwako huko[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…