Hao ni watani wa jadi tangu enzi za BCS Times.comAnampenda amemumindy kichizi😆😆😆
Mungu ibariki Kenya.
Hii pussy naijua inavyofikiri tulia weweAnakuonea bure kwa kweli. Sijaona mahali popote umeandika ama umelinganisha USA na TZ.
I only fu.c.k pussies . So why not f.u,c.k a juicy pussy like you?Go fcuk yourself 🖕
Kwamba ata nikiingiza demu gest ana ukimwi TISS wanatakiwa kuja kuzuia shoo yangu duh.Sidhani kama wanadhibiti kila sehemu ya maisha yangu.
Mnawapa sifa ambazo hawana.
You in the mood to get fcuked or knocked clean TF out?I only fu.c.k pussies . So why not f.u,c.k a juicy pussy like you?
Youse a bytch! 🖕Hii pussy naijua inavyofikiri tulia wewe
You taking it in the butt like Smith WillyYouse a bytch! 🖕
Duh ...beef lenu bado linaendeleaYou taking it in the butt like Smith Willy
Hata sasa hivi mvua hizi zinazonyesha lawama ziende kwa usalama wa taifa!
Aliyeleta mada alikuwa sawa ila aishindwa namna ya kuiwasilisha. FYI usalama wa nchi sio kuipigajia ccm ibaki madarakani (kama ilivo kwa sasa). Usalama wa nchi ni lidude lipana hivi? Mfano ukosefu wa fedha za kigeni unaweza sema ni ishu ya kiuchumi tu ila ni purely usalama na mfano wa pili upungufu wa chakula ni usalama wa taifa.
Usalama wetu ni more of political intelligence. Unawezaje kujenda reli kwa kuagiza chuma urusi ukaacha chuma Liganga hapo.
Hawa jamaa waweke kitengo cha Economic intelligence (na wasiwe UVCC watumie knowlegeable personel).
Fikiria mtu aingize mbegu za nyanya zisizoota na kwa fitina akazuia mbegu zingine zote. Nini kitatokea? Inshort hawa jamaa wanatakiwa kuwa wanafikiria mbele sio kuwa driven na matukio ya sasa.
Kwa kifupi ukiona taifa lolote linayumba ujue Idara ya usalama ipo hoi na ndiyo maana kazi ya kwanza ya Rais akiingia ofisini asubuhi anaanza na faili la TISS.
Ata Israel yupo pale Middle East kwasababu
ya uimara wa Mosad na USA wanatamba kwasababu ya uimara wa CIA.
Kwaiyo ata Tanzania, tatizo la kuwa na viongozi wa ovyo tatizo ni TISS maana wao ndiyo wanatakiwa wafanye vetting ya uhakika.Kama kuna bidhaa hafifu za Kenya kwenye soko la Tanzania pia tatizo ni wao TISS kuruhusu Rais kuteua Mkurugenzi Mkuu wa TBS asiye na sifa na Bodi dhaifu achilia mbali Waziri wa Biashara asiyejua Biashara na michezo yake ya kihuni.
Kwa mfano;kama TISS wangekuwa strong Mwigulu asingekuwa Waziri wa fedha na wala Kitila Mkumbo asingekuwa Waziri wa Mipango kwasababu hawana rekodi yoyote ya kuwai kufanya Biashara yoyote walau ata kuwa ata Business consultants.Unamuachaje mtu kama Dr Charles Kimei kwenye Cabinet na unawapa kipao mbele akina Kitila Mkumbo?
"Information is power"
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ni kweli HUELEWI. Na KOSA sio lako ni Usalama wa Taifa.
Idara hii ni engine ya nchi kuanzia Siasa, Uongozi, sanaa , Uchumi na kila jambo.
Fikiria vetting ya viongozi imekaa kiwizi wizi na ukabila au Makundi nani analaumiwe?.
Fikiria leo rasilimali za umma zinaibwa nani alaumiwe?.
Kila taasisi za nchi wako kule lkn hakuna kinafanyika. Nani alaumiwe?
Hii nchi imefikia sehemu kweli ya kuwa watu ni chawa wa mtu mwingine kwa kisingizio cha Uanaharakati au uchama dola na kupongeza yasio na maana.
My Take. Labda wakili kuwa hawana meno kazi yao ni kutoa taarifa na wanaowapa wanatia mfukoni. Hivyo chombo kinahitaji mabadiliko
Sawa Bwana Junya mwenzangu,mimi nafanya Biashara ya Cosmetics,wambie TIC wafanye updatio masuala ya Cosmetics and foods yapo TBS na masuala ya Drugs and medical devices yapo TFDA.
Sasa tulejee mada yetu;umo TBS na TFDA,TISS wamo kama wote kuanzia Maabara mpaka kwenye masuala management.
Mashirika yote ambayo yanadili na masuala nyeti kama Afya ya Mtanzania TISS wapo Mkuu.
Ulizungumzia nyanya,kama zinatoka nje ya nchi pia jicho la TISS lipo na kama zinazalishwa nchini basi Madawa yote yanayotumika kwenye Kilimo husika ni lazima yathibitishwe.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app