Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Miaka 26-30 ni umri wa kukosoa wengine, lawama nyingi na visingizio lukuki (huu pia ni umri halali kwa jela au kifungo, usipofungwa umri huo basi huko mbeleni hata ukija kupata kesi ni rahisi kuchomoa).
 
Kuna mmoja humu kaulalamikia usalama wa taifa kwa uwepo wa sabuni ya jamaa. Duh! Kama ni hivyo basi usalama wa taifa labda utakuwa unahusika na bidhaa kama nyanya na vitunguu huko masokoni. Hata mimi pia sijui mukhtadha wa usalama wa taifa shughuli zao zinaanzia na kuishia wapi zaidi ya stori za vijiweni kuwa usalama wa taifa wapo kila idara
Wakati wa Magu walikuwa wanatumika sana kukagua samaki na dagaa lkn sasaiv wamelala.
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Tatizo lako unajifanya Mmarekani kwa sana. Utadhani wengine wote hawajaishi USA ni wewe tu. Kila mara ni ku compare na ku contrast hali ilivyo USA na hali ilivyo Tanzania. You can suck up your shitty sarcasm in your stinky pussy hole bitch.
 
Tatizo lako unajifanya Mmarekani kwa sana. Utadhani wengine wote hawajaishi USA ni wewe tu
Ni hisia zako tu na complex yako tu.

Mimi sijifanyi Mmarekani kwa sana. Mimi ni Msukuma wa Ntuzu na ninajivunia sana kuwa wa huko.

Ondoa complex uliyonayo.
 
Kila mara ni ku compare na ku contrast hali ilivyo USA na hali ilivyo Tanzania. You can suck up your shitty sarcasm in your stinky pussy hole bitch.
Una maruerue kichwani wewe.

Wapi katika hii mada nimelinganisha hali ilivyo Marekani [au USA kama ulivyoandika wewe] na hali ilivyo Tanzania?

You are just babbling.
 
Hivi hawa wakwetu ni kama MOSAD,CIA,KGB etc ambao kwa mfano wakiona Kiongozi anazengua wanamfurusha kwa maslahi ya uma tuliona kwa Donald Trump. Au hawa ni kwa maslahi ya Serikali? Yaani wanawwza kuipenda nchi au wako kuitetea Serikali?
 
Una maruerue kichwani wewe.

Wapi katika hii mada nimelinganisha hali ilivyo Marekani [au USA kama ulivyoandika wewe] na hali ilivyo Tanzania?

You are just babbling.
Anakuonea bure kwa kweli. Sijaona mahali popote umeandika ama umelinganisha USA na TZ.
 
Back
Top Bottom