Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Sidhani kama wanadhibiti kila sehemu ya maisha yangu.

Mnawapa sifa ambazo hawana.
Kwenye Part IV sehemu ya duties and power of Tiss, akina chibu Kuna mda wanaweza tumika kati namba 16 kama Restriction on publication and broadcasting information.

Kuna media frenzy zinatengenezwa kucover on going big news kwenye nnchi, kwasabu Wana uwezo mkubwa wa kutrend hawa wasanii na wakafanya mass of people waconcerntrate nao na wasifuatilie what is real happening in a country.

Kuna maboko mengine hawa wasanii wanayafanya kimakusudi kwa kusongwa Hali inayoweza fanya washuke kimuziki baada ya kutrend, kwahiyo wanaweza kulaumiwa pia 😎

My take though
 
Mi najiuliza tuu hadi huu ubadhilifu unafanyika ngazi ya halimashauri wao ofisi ya DSO huwa ipo busy na majukumu gani?
Halimashauri wakurugenzi walitumika kuiba kura hivyo hakuna msafi wa kuwanyooshea vidole. NA HILI NI TATIZO KUBWA KULIKO TUNAVYOZANI
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafa

Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Kaa ukitambua kua.
Usalama wa Taifa=Ofisi ya Rais.
Rais anatakiwa kujua kila kitu, kila kinachoendelea katika ofisi zote ziwe za serikali ama ofisi binafsi. Anatakiwa kujua/kua na taarifa zote za Wizara zote, Idara zote anatakiwa kujua hali ya uchumi wa nchi, Si-Hasa, Biashara n.k anatakiwa kujua hali ya usalama wa nchi na majeshi yote kwa ujumla. Hivyo bhasi kupitia Ofisi yake anapata taarifa sahihi na taarifa zote anazipata kwa wakati na taarifa nyingine wewe hujui kama ni taarifa ndo maana wanasema “ULIPO-TUPO”.
Note:
Wewe Fanya majukumu yako kwa mujibu wa katiba ya JMT tena kwa bidii na kwa kujituma na kwa Kizalendo zaidi maana kila unachokifanya wanakuona na wakikuhitaji ufanye nao kazi watakuita kwa njia watayoona inafaa. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom