Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Stop being a hater.
He's a comedian, Entertainer, enterpreneur. Doing what he does best.
 
As long as anafanya mambo ambayo sio kinyume na maadili ana pia havunji sheria ya nchi basi mwache afanye maana inawezekana ndio mambo anayopenda kufanya au kuna watu anawafurahisha akifanya hivyo.

Life goes on..
 
Heheheiyaa mungu niweke nione ya dunia

Haya huyo idris kakufanyaje?
 
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Watu WENGI WALIOKUWA NA NJAA,,, baadae wakashika pesa nyingi za ghafla,.. PESA ZIKIISHA bila kufanya chochote cha MAANA,,, HUANGUKIA KWENYE TABIA KAMA YA IDRISA,,, YOTE hayo afanyayo ni KUJISAHAULISHA na PESA zilizoyeyuka...
 
Si kwamba namtetea idris au mleta mada lakini tukienda kwa style hii bhasi tusiingilie privacy za watu hata kama ni wapenzi wa jinsia moja

Vinginevyo vyote vilivyobakia ni double standards tu ....
Uko sahihi kuna watu ni wanafiki sana aisee.Ikiwa wanasema aachwe na maisha aliyochagua basi hata wale mashoga na lesb waachwe kama walivyochagua.
Kiufupi yule jamaa hua simuelewi japo ye anajitanabaisha kwamba anafanya comedy sijui na nini lakini naona kama anajisahau kuhusu umri.
 
Acha chuki wewe kwani kinachokukera kwake nini?? Kijana wa watu ni smart na talented tatizo ww ambaye huna hata cha kufanya
 
Kwani ni nani huyo mtu Mkuu, sijui hata nilisikia wapi hilo jina
 
Stop being a hater.
He's a comedian, Entertainer, enterpreneur. Doing what he does best.
mbona sio comedian, entertainer, enterpreneur etc kama wenzake wa aina hiyo? you know a man is a man. Joti pamoja na kuact udadadada, lakini ana mambo ya kiume sana tofauti na jamaa. anatufanya tudoubt......yake.
 
Acha chuki wewe kwani kinachokukera kwake nini?? Kijana wa watu ni smart na talented tatizo ww ambaye huna hata cha kufanya
kupoteza monekano wa uanaume. hasa nikiangalia vile anavyolambalamba midomo anavyoongea kwenye clip kwa mange kimambi, na zile picha anajichokonoa masikio halafu analembua macho kama demu anapigwa miti...mwanaume tunapoduu au kupata hisia sidhani kama tunalembua vile. kwa binafsi nikikutana na watu wa aina hiyo huwa nachukia kabisa...
 
Mleta mada wewe ni mwanaume au mwanamke? Kama ni ME basi jirekebishe kwanza wewe, acha kufuatilia maisha ya watu, haipendezi ME kuwa hivyo!

Anaishi anavyopenda yeye na sio unavyopenda wewe!!
hii sio dunia ya kwake peke yake kwamba aishi anavyopenda yeye, lazima ajali na watu wengine wanavyojisikia kwa yale anayoyafanya. akili za kimarekani hizo kwamba upo kwenye dunia ya watu wengi alafu unajijali peke yako. inakera kuangalia mwanaume mwenzangu ana behave vile...mtanisamehe kama nawakwaza.
 
Absolutely rubbish.
wewe GENTAMYCINE kama na wewe unalambwa tigo funguka tu, sisi wenzio bado tunauendeleza uanaume na tukiona mwanachama mwenzetu kwenye chama cha wanaume anafanya mambo ambayo hata watoto wetu wakiona wanachafuka tabia, siku zote tutakemea. wewe endelea tu na umarekani wako. tunajua jinsia yako hadi sasa imeshabadilika. simbilisi we!
 
mbona sio comedian, entertainer, enterpreneur etc kama wenzake wa aina hiyo? you know a man is a man. Joti pamoja na kuact udadadada, lakini ana mambo ya kiume sana tofauti na jamaa. anatufanya tudoubt......yake.
joti hana ubunifu. Anajua kujifanya mdada na kukifanya babu. Over.
Huyu Idris amesha perfom kwenye stage huko Kenya akichekesha. Hata page yake ya IG ana pindi analiita "sio Habari" anachofanya ni kuchekesha. so anaenda na trend ilivyo mpaka atakapo stick kwenye jambo moja rasmi.
Pia idris ni film actor pia anayekuja..

Ni enterprenuer anaeuza viatu vyenye brand yake ya "Sultan foremen"
Pia inawezekana nk mwanamitindo kwa jinsi anavyo apear kwenye baadhi ya matukio japo siwezi kulisemea hilo. These are what he does for a living.

So dont take him for Granted.
 
me nahisi wewe mtoa mada ndiyo unamambo ya kike kufuatilia maisha ya watu.
 
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Calvin Hart,Chris Rock,Kate Williams,Chris Tucker,Cedric The Entertainer nk wana umri gani?

Idris anajichukulia kama Comedian so hawezi shinda kakaza sura kama ww,unayoyaita mapepe ndo ugali wake so live your life and let him live his.
 
kupoteza monekano wa uanaume. hasa nikiangalia vile anavyolambalamba midomo anavyoongea kwenye clip kwa mange kimambi, na zile picha anajichokonoa masikio halafu analembua macho kama demu anapigwa miti...mwanaume tunapoduu au kupata hisia sidhani kama tunalembua vile. kwa binafsi nikikutana na watu wa aina hiyo huwa nachukia kabisa...
Hata yy hayapendi ndo maana anafanya kama kichekesho
 
Mwenzio yupo kikazi zaidi wewe unabwabwaja tu hapa.
 
Back
Top Bottom