Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Mbona lemutus ana umri mkubwa
 
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Sasa Wewe mbona ndio mapepe kuliko huyo Idrissa?

Ulichokiandika hapa unakijuwa mwenyewe ni kama umelewa bangi.
 
wewe ni yeye nini, mbona unamtetea. kwa kifupi ni kwamba, hapa duniani kuna makundi ya watu wawili tu, mwanaume na mwanamke, sasa sisi wanaume halisi tukiona jinsia yetu inaingiliwa na watu wasioeleweka wanachafua jinsia yetu, tunaumia mioyo. wewe kama upo kama watu wasioeleweka ni kwamba hata kama hunisaidii chochote maishani mwangu mimi unanikeraaaa
Kweli kabisa mkuu wanadhalilisha sana
 
Wa kwanza kamkrush mtoa mada, waliofuata woteee wameunga tera,,,hahaaa,,jf mnaniachaga hoi,, tena hoi kweli kweli. Huyo idris kuna thread zilimpondaaa,,,Leo upepo umeelekea kusini mashariki
 
Mwanaume halisi adamu tu..site wrote tumekaa kwenye matumbo ya wanawake...lazima viasili Fulani tunazaliwa navyo na vikizidi ndio ishu..so acheni mazalau
 
584cf2786c0a743e68959f4fe6ac1179.jpg
 
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini uulizwe au uchunguzwe, hiyo inakuja automatically as age inavyozidi kukua.
Elezea alichofanya ili tutoe michango ya mawazo yenye tija.
 
Watu WENGI WALIOKUWA NA NJAA,,, baadae wakashika pesa nyingi za ghafla,.. PESA ZIKIISHA bila kufanya chochote cha MAANA,,, HUANGUKIA KWENYE TABIA KAMA YA IDRISA,,, YOTE hayo afanyayo ni KUJISAHAULISHA na PESA zilizoyeyuka...
hahahaha duh!
 
Jamani, majibizano yamekuwa mengi sana, Naombeni nifahamisheni huyo mtu ni nani?
 
Akikua atajilaumu sana.
Wengine ndio huwa wanakuwa mateja kutokana fedheha ya vivuli vyao
 
wewe ni yeye nini, mbona unamtetea. kwa kifupi ni kwamba, hapa duniani kuna makundi ya watu wawili tu, mwanaume na mwanamke, sasa sisi wanaume halisi tukiona jinsia yetu inaingiliwa na watu wasioeleweka wanachafua jinsia yetu, tunaumia mioyo. wewe kama upo kama watu wasioeleweka ni kwamba hata kama hunisaidii chochote maishani mwangu mimi unanikeraaaa
Kafanya nini!?.
Kakufanya nini!?.
Kaingilia jinsia ya KE kwa kufanya nini!?.
Kauchafua ME yako kwa njia zipi!?.

Haya mawazo ya mifukoni mwenu mtaacha lini!?..
 
Mashoga wenzake wanamtetea atii kila mtu na yake! ukioga nje uwanjani lazima watu timamu wakushangae na kujiuliza kuhusu wewe..... aache tabia za kitoto na kishoga maana ameshakua
 
Back
Top Bottom