Hivi Idriss hana washauri? Ana umri gani?

Mbona lemutus ana umri mkubwa
 
Sasa Wewe mbona ndio mapepe kuliko huyo Idrissa?

Ulichokiandika hapa unakijuwa mwenyewe ni kama umelewa bangi.
 
Kweli kabisa mkuu wanadhalilisha sana
 
Wa kwanza kamkrush mtoa mada, waliofuata woteee wameunga tera,,,hahaaa,,jf mnaniachaga hoi,, tena hoi kweli kweli. Huyo idris kuna thread zilimpondaaa,,,Leo upepo umeelekea kusini mashariki
 
Mwanaume halisi adamu tu..site wrote tumekaa kwenye matumbo ya wanawake...lazima viasili Fulani tunazaliwa navyo na vikizidi ndio ishu..so acheni mazalau
 
Elezea alichofanya ili tutoe michango ya mawazo yenye tija.
 
Watu WENGI WALIOKUWA NA NJAA,,, baadae wakashika pesa nyingi za ghafla,.. PESA ZIKIISHA bila kufanya chochote cha MAANA,,, HUANGUKIA KWENYE TABIA KAMA YA IDRISA,,, YOTE hayo afanyayo ni KUJISAHAULISHA na PESA zilizoyeyuka...
hahahaha duh!
 
Jamani, majibizano yamekuwa mengi sana, Naombeni nifahamisheni huyo mtu ni nani?
 
Akikua atajilaumu sana.
Wengine ndio huwa wanakuwa mateja kutokana fedheha ya vivuli vyao
 
Kafanya nini!?.
Kakufanya nini!?.
Kaingilia jinsia ya KE kwa kufanya nini!?.
Kauchafua ME yako kwa njia zipi!?.

Haya mawazo ya mifukoni mwenu mtaacha lini!?..
 
Mashoga wenzake wanamtetea atii kila mtu na yake! ukioga nje uwanjani lazima watu timamu wakushangae na kujiuliza kuhusu wewe..... aache tabia za kitoto na kishoga maana ameshakua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…