Hivi ikikutokea wewe utafanyaje?????!!!!!!!!

Hivi ikikutokea wewe utafanyaje?????!!!!!!!!

Nauchuna tu. Kwani si salamu tu hizo, tena za kwenye radio.
 
aisee siwezi kuendelea kulala wala kungoja asubuhi,kitaeleweka usiku huohuo
 
Napasua redio, alafu namyonga kisha nasepa kusikojulika tena hapa hapa bongo mana wana intelijensia wako busy na chadema hawatanitafuta.
We utakuwa mnyalu nini? inawezekana ukajinyonga.
 
Napasua redio, alafu namyonga kisha nasepa kusikojulika tena hapa hapa bongo mana wana intelijensia wako busy na chadema hawatanitafuta.

Ahaaa haaaaaaa wakiwa wanatoka mawindoni baada ya kuwakosa wazee wa pipozz halafu kwa bahati mbaya wakakutana na wewe hasira zote wanakuangushia wewe.
 
Inabidi nimuulize moyo wake yeye uko wapi maana kulala nae na kupeana ahadi kemkem haimaanishi anakupenda/unampenda bali ni matamanio ya miili yetu tu! Upendo upo hautafutwi, ukiitafuta matokeo yake ndo hayo mwenzio anasalimiwa redioni!

watu kama nyie mna roho ngumu nyie.
 
Nimesoma maoni kibao ila sijaridhika kwa kweli,ikitokea kwa mpenz unaempennda itakua imekaa vibaya sana.day!!inabid ujikaushe kama haujausikia huo ujumbe ndipo utafakari kuchukua hatua.maoni yangu ndio hivyo jamani.
 
Wana wa familia ya JF mambo vipi?.Hii ni kwa jisia zote ME na KE.
Mko chumbani usiku mmepumzika kila mmoja akiwa anamuahidi mwenzie ahadi tamu tamu juu ya kulitunza na kulienzi penzi lenu na ahadi nyingi za kufarijiana, pembeni yenu mezani mkiwa mmefungulia redio kwa sauti ya kadri na kipindi kilicho hewani kwa wakati huo ni cha LOVE NIGHT cha kutakiana njozi njema na kheri katika mahusiano ya mapenzi.Mkiwa mmelala japo si usingizi huku mmekumbatiana mara unasikia kwenye redio mtangazaji anasoma ujumbe wa fulani bin fulani wa sehemu fulani anafanya kazi katika kampuni/shirika fulani akisema namtakia njozi njema mpenzi/mchumba wangu fulani akiwa sehemu fulani namwambia nampenda sana mwezi wa 5 tutaitwa mke na mume.Kama ni wewe likikupata hilo utachukua uamuzi gani
kimyakimya km sijasikia,nalala hadi asubuhi,kukipambazuka namwambia mwanzo mwisho bila ugomvi afu naachana nae kuanzia hapo.
 
Hakuna ushahidi hapo, nampiga busu kisha utaratibu mwingine unachukua nafasi
 
Back
Top Bottom